pye Chang shen
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 11,038
- 5,259
Poleni Sana familia nzima mungu awape nguvu ya kubeba Huu mitihani amen
Mara ya mwisho kutumia akiri zako ilikuwa lini?hii taarifa umeitoa kinafiki sana . huyo neema alikuwa wapi wakati risasi inafyatuliwa? huyo neema alienda mahakamani kama nani kwa mtuhumiwa ama mshtaki ?
Na hiyo mpaka Mropokaji aje kumwamuru Katibu mkuu aunde kamati ya uchunguzi itachukua muda.
Hapa ndo weredi wa jeshi la Polisi huwa haueleweki. Wanamfungulia mtu mashtaka, mahakama inamwachia huru then wanatumia sheria vibaya kukamata tena.
Kibaya zaidi utakuta kesi yenyewe ni ya kipuuzi tu.
Halafu Kuna mpuuzi mmoja alisema polisi wa Tanzania wanamafunzo ya kulenga shabaha, wakilenga hawakosei. Sasa ajitokeze tena kujibu na hili maana hawachelewi kusema kuwa huyo aliyeua hajulikani.
Leo askari wa magereza wameua msichana Neema Dominic , mkazi wa Tuamoyo aliyemaliza kidato cha nne mwaka juzi.
Kifo hicho kimetokana na Askari Magereza kumfyatulia risasi mfungwa aliyekuwa ameachiwa na Mahakama wakitaka kumkamata tena ndipo risasi walizomfyatulia zikampata Neema na kumuua papo hapo, nyingine zikimjeruhi mama yake mzazi.
_____
Maoni Yangu:
Hivi haya mauaji ya askari kwa RAIA mpaka lini?
========
Dar es Salaam. Neema Dominick mkazi wa Kigamboni Mtaa wa Tuamoyo jijini Dar es Salaam amefariki dunia baada ya kupigwa risasi katika eneo la paja na askari Magereza.
Baada ya risasi iliyomuua Neema kutokea upande wa pili pia ilimjeruhi mama yake mzazi, Rehema Ibrahimu katika eneo la paja.
Mauti hayo yalimpata Neema jana akiwa nyumbani kwao karibu na Mahakama ya Kigamboni wakati askari wa Magereza alipokuwa akijaribu kumzuia mtuhumiwa asitoroke mahakamani.
Akizungumzia tukio hilo, kaka wa marehemu, Juma Mwinjaku alisema kabla ya tukio hilo mtuhumiwa huyo alitoroka kwa mara ya kwanza askari wakafanikiwa kumdhibiti kabla ya kutoroka tena na kuamua kutumia risasi kumzuia.
“Mara zote alipotoroka alikuwa akitumia upande ambao nyumba yetu ipo jambo ambalo lilifanya hata walipotumia risasi kuwa rahisi kutufikia.”
“Lakini kwa nini watumie risasi kumzuia mtuhumiwa ilhali wanajua eneo lile liko karibu na makazi ya watu pamoja na shule? Kwa nini hawaangalii madhara yanayoweza kutokea kwa watu,” alihoji.
“Binti huyo alimaliza kidato cha nne mwaka juzi kuna wakati alikuwa akitaka kwenda jeshini akakosa nafasi hivyo alikuwa yupo nyumbani tu akisubiri utaratibu mwingine,” alisema
Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa mtuhumiwa aliyekuwa akizuiwa kwa risasi alikuwa tayari ameachiliwa na Mahakama.
Chanzo: Mwananchi
Hii alisema kwa raia yeyote au jambazi?Bila shaka walikuwa wanatekeleza maagizo ya Magnificent aliyopata kusema kama wameuwa RAIA wasisumbuliwe ikibidi wapewe na nyota
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpandishe cheo huyo askari katimiza kigezo muhimu kuua raia yule wa tengeru amehamishwa kituo ili apandishwe vizuri. Hongera manjagu.Leo askari wa magereza wameua msichana Neema Dominic , mkazi wa Tuamoyo aliyemaliza kidato cha nne mwaka juzi.
Kifo hicho kimetokana na Askari Magereza kumfyatulia risasi mfungwa aliyekuwa ameachiwa na Mahakama wakitaka kumkamata tena ndipo risasi walizomfyatulia zikampata Neema na kumuua papo hapo, nyingine zikimjeruhi mama yake mzazi.
_____
Maoni Yangu:
Hivi haya mauaji ya askari kwa RAIA mpaka lini?
========
Dar es Salaam. Neema Dominick mkazi wa Kigamboni Mtaa wa Tuamoyo jijini Dar es Salaam amefariki dunia baada ya kupigwa risasi katika eneo la paja na askari Magereza.
Baada ya risasi iliyomuua Neema kutokea upande wa pili pia ilimjeruhi mama yake mzazi, Rehema Ibrahimu katika eneo la paja.
Mauti hayo yalimpata Neema jana akiwa nyumbani kwao karibu na Mahakama ya Kigamboni wakati askari wa Magereza alipokuwa akijaribu kumzuia mtuhumiwa asitoroke mahakamani.
Akizungumzia tukio hilo, kaka wa marehemu, Juma Mwinjaku alisema kabla ya tukio hilo mtuhumiwa huyo alitoroka kwa mara ya kwanza askari wakafanikiwa kumdhibiti kabla ya kutoroka tena na kuamua kutumia risasi kumzuia.
“Mara zote alipotoroka alikuwa akitumia upande ambao nyumba yetu ipo jambo ambalo lilifanya hata walipotumia risasi kuwa rahisi kutufikia.”
“Lakini kwa nini watumie risasi kumzuia mtuhumiwa ilhali wanajua eneo lile liko karibu na makazi ya watu pamoja na shule? Kwa nini hawaangalii madhara yanayoweza kutokea kwa watu,” alihoji.
“Binti huyo alimaliza kidato cha nne mwaka juzi kuna wakati alikuwa akitaka kwenda jeshini akakosa nafasi hivyo alikuwa yupo nyumbani tu akisubiri utaratibu mwingine,” alisema
Kamanda wa polisi kanda maalumu ya Dar es Salaam, Lazaro Mambosasa alithibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema kuwa mtuhumiwa aliyekuwa akizuiwa kwa risasi alikuwa tayari ameachiliwa na Mahakama.
Chanzo: Mwananchi
Tena ni wakigamboni na yeyeNa hiyo mpaka Mropokaji aje kumwamuru Katibu mkuu aunde kamati ya uchunguzi itachukua muda.
Hapa ndo weredi wa jeshi la Polisi huwa haueleweki. Wanamfungulia mtu mashtaka, mahakama inamwachia huru then wanatumia sheria vibaya kukamata tena.
Kibaya zaidi utakuta kesi yenyewe ni ya kipuuzi tu.
Halafu Kuna mpuuzi mmoja alisema polisi wa Tanzania wanamafunzo ya kulenga shabaha, wakilenga hawakosei. Sasa ajitokeze tena kujibu na hili maana hawachelewi kusema kuwa huyo aliyeua hajulikani.
Na hiyo mpaka Mropokaji aje kumwamuru Katibu mkuu aunde kamati ya uchunguzi itachukua muda.
Hapa ndo weredi wa jeshi la Polisi huwa haueleweki. Wanamfungulia mtu mashtaka, mahakama inamwachia huru then wanatumia sheria vibaya kukamata tena.
Kibaya zaidi utakuta kesi yenyewe ni ya kipuuzi tu.
Halafu Kuna mpuuzi mmoja alisema polisi wa Tanzania wanamafunzo ya kulenga shabaha, wakilenga hawakosei. Sasa ajitokeze tena kujibu na hili maana hawachelewi kusema kuwa huyo aliyeua hajulikani.
Aliyempiga Risasi Binti Neema sio Polisi; Umenichekesha sana Kijana wanguhawachelewi kusema kuwa huyo aliyeua hajulikani.
hivi huyu alieandika ni binadamu ,kama ni binadamu basi n i j......i...n...g..a...puuziiiiiiiiiiiihii taarifa umeitoa kinafiki sana . huyo neema alikuwa wapi wakati risasi inafyatuliwa? huyo neema alienda mahakamani kama nani kwa mtuhumiwa ama mshtaki ?