Kwa kweli mabnti wao ni wazuri wa maumbo ila kumuweka ndani...nina wasiwasi! nilisoma nao baadhi chuo...so, from experience: Kwa kuonyesha kwa marafiki zako una demu mkali, sawa! Ila kama unafikiria ndoa..mtazamo wangu ni; wana very un realistic ideas of life, immature na hawana sifa za mke. Yani unapata binti miaka 23 hajui kupika na wala haimghasi usingizi.
wakati mwingine, tulikuwa tunawaalika like for lunch...utapika wewe, utaosha vyombo wewe..wao busy wakiona movie au muziki! aah..nilichoka nao!
Lakini pia, mademu wetu ni bomba zaidi jamani..maana wako fully equipped, si maumbo tu bali hata tabia (na si fake)...
Ni mtazamo tu!