Kigali Mbali . . . Kigali Mbaaali Tukumbukane . . .

Kigali Mbali . . . Kigali Mbaaali Tukumbukane . . .

Mazee Superman, Mji wa kigalikwa jinsi ulivyouona msafi na umepangika vizuri. Nina rafiki yangu yuko kule anasema kuna siku Kagame mwenyewe huamua tu kuingia front na kukagua mji wake. Kwa hiyo hutegemei hata siku moja ukakuta eti mtu kaweka gereji au banda la mama ntilie sehemu bila utaratibu. Hao wadada sitaki kusema maana huyo jamaa yangu ni mgogo wa chinangali ke Dodoma anategemea kuwa na ka-project na binti wa kinyarwanda next year mungu akijalia uhai....Sikumshangaa hata kidogo bada ya kunionyesha picha ya mtuhumiwa...!!
 
Wakati kaanchi kenyewe ni kama mkoa wa mbeya au iringa tuu!
Big up Kagame waache watz waendelee na porojo

Kama ndo hivyo mbona Moshi pametakata madhari nzuri kuliko DSM?
 
Eritrea.jpg

Dah si mchezo tutaonana wabaya

Hawa nasikia wana asili ya Uhabeshi kidogo mweh mitoto ya nguvu
 
Kwa sis wenyeji wa Ngara haya ya kawaida, hata wa kwetu wako bomba pia..ila wachache na wa kutafuta unlike Kigali......utadhani wamemwagika!
 
Nashukuru nimeenda na kurudi salama.

Wacha picha ziongeee . . . . (at your own risk)

attachment.php


Wana ndege zaidi ya 10 ingawa ni Nchi ndogo, sijui tunazo ngapi. Huduma zao ni nzuri sana. Wachangamfu, wanapendeza . . . Gooo Goooo Kagame! Tofauti na Airline ya Watani wa jadi ambao Wanaongoza Africa lakini Hostess wao Mmmmh . . . naomba nisiseme.

Chakushangaza zaidi, kila binti unayekutana naye, kwa umbo na sura ni mzuri.

attachment.php


Nimetembea jamani . . . Kaskazini, Kusini, Mashariki, Magharibi . . . lakini kote sijaona . .

Nimeshindwa kujua ni wimbo gani unafaa kati ya hizi?

1. Kigali siendi tena . . . Kigali siendi tena . . . Kigali siendi tena, kuna dogo dogo nyingi . .

Ama?

2. Kigali Mbali . . . Kigali Mbaali . . Tukumbukane kwa barua . . .

attachment.php

Daah! Kagame anatuharibia lakini . . . sio poa kabisa!
 

OH MY GOD! Can this one fall for poor ugly Kishimbe wa Kishimbe?
And I hope daddy in law will forgive me for my angry remarks I make about those who happen to 'crooss our line!'
I HOPE, SLOWLY, GOD WILL HELP US COOL OUR TEMPERS AND FIND HOW STUPID WE HAVE BEEN!
GOD BLESS AFRICA!
 
Back
Top Bottom