Kigali ipo nyuma ya mchezo huu mchafu?

Kigali ipo nyuma ya mchezo huu mchafu?

7a76be89db161591e65b250467db7b7e.jpg
b6ff6270ec4d0fadbc989da12e205a98.jpg
 
Mwanzo nilidhani Rwigara labda kanyweshwa madawa ya kulevya halafu kapigwa picha akiwa hajitambui, kumbe mtu mwenyewe hakuna aliye mlazimisha anaonekana yuko sober kabisa na akili zake timamu - sasa starehe zake mwenyewe mnaziusishaje na utawala wa Paul? Huyo binti hana maadili hata kidogo kisaikolojia anaonekana ni rahisi kununulika/shawishika, Raia wa Rwanda hawawezi kumchangua binadamu ambaye hana maadili mema - tusimsingizie Paul..
 
Mwanzo nilidhani Rwigara labda kanyweshwa madawa ya kulevya halafu kapigwa picha akiwa hajitambui, kumbe mtu mwenyewe hakuna aliye mlazimisha anaonekana yuko sober kabisa na akili zake timamu - sasa starehe zake mwenyewe mnaziusishaje na utawala wa Paul? Huyo binti hana maadili hata kidogo kisaikolojia anaonekana ni rahisi kununulika/shawishika, Raia wa Rwanda hawawezi kumchangua binadamu ambaye hana maadili mema - tusimsingizie Paul..
unawakilisha raia wa rwanda
 
wewe yeriko karibia unapagawa kama deo kisandu, sasa lengo la huu uzi ni kuelezea picha za huyo dada, ujasusi wa kigali au uzoefu wako wa spy camera?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mwanzo nilidhani Rwigara labda kanyweshwa madawa ya kulevya halafu kapigwa picha akiwa hajitambui, kumbe mtu mwenyewe hakuna aliye mlazimisha anaonekana yuko sober kabisa na akili zake timamu - sasa starehe zake mwenyewe mnaziusishaje na utawala wa Paul? Huyo binti hana maadili hata kidogo kisaikolojia anaonekana ni rahisi kununulika/shawishika, Raia wa Rwanda hawawezi kumchangua binadamu ambaye hana maadili mema - tusimsingizie Paul..

Duuu ni Wewe Bukyanagandi umetamka hivi? Mmmhhhh hebu nione kama na JMali atakavyo sema
 
Back
Top Bottom