PreGE2025 Kigaila: CHAUMMA kitakuwa chama kikubwa kuliko vyama vyote Tanzania

PreGE2025 Kigaila: CHAUMMA kitakuwa chama kikubwa kuliko vyama vyote Tanzania

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Wont be the same

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2024
Posts
1,564
Reaction score
2,483
Tambo za Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara CHAUMMA, Benson Kigaila, aisagia CHADEMA na kueleza kuwa chama chake itakuwa kikubwa kuliko vyama vyote Tanzania na kwamba adui mkubwa wa CHAUMMA ni CCM.
 
Kumzidi hata ACT? wakati akina Samson Mwigamba, Kitila Mkumbo wanahama, walisema ACT ndio mbadala wa upinzani, miez michache baadaye wakamuachia Zitto chama chake
 
Afrika changamoto sana Tunaangalia Matumbo Yetu badala ya kuijenga kesho ya watoto wetu. Kmmk
 
Ndoto za mwendawazimu
Hawa jamaa naona Milembe inawahusu, hivi wewe Kigalika, kumbukeni ule mfano wa mwanapunda aliyembeba yesu,
Wewe Kigailuka katika siasa za nchi hii wewe ni Liability na sio asset. Nguvu ya ushawishi huna hata kidogo, wadanganye wala ubwabwa wenzako,
Mimi hata kukupigia kura siwezi
 
Kwamba tunamaliza miti au siyo mkuu?
Tapeli akiongea mwangalie tu machoni utamjua.

Sina shida na hawa jamaa kuhama chama ni haki yao ila movement waliyofanya mtu yoyote mwenye akili timamu anaona kabisa ni mgongo wa CCM..
 
1000036454.jpg
 
Kupata vichekesho kama hiki wenzangu mnabonyeza namba zipi....🤣🤣
 
Tambo za Naibu Katibu Mkuu Tanzania Bara CHAUMMA, Benson Kigaila, aisagia CHADEMA na kueleza kuwa chama chake itakuwa kikubwa kuliko vyama vyote Tanzania na kwamba adui mkubwa wa CHAUMMA ni CCM.
View attachment 3341121
Mpaka iwe hivyo. Huko chauma atakuja nani? Wananchi wapo ma Lissu brother.

Chukua mfano wa Agustino Mrema na Jemsi Mbati NCCR mageuzi. Angehama Lissu ndiyo Chadema ingekufa.

Hivi huu mfano mabadiliko yakifanyika na Chadem ikaingia kwenye uchaguzi mtaongea nini tena? Mtaanza kuuwa viongozi wa Chadema sio
 
Back
Top Bottom