Nafaka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 12,216
- 31,539
Airtel ya 35000 wananipa 40 gb japo haimalizi mwezi ila ni freshHeshima kwako, nimefikia hatua ya kuandika hapa ili kupata unafuu wa vifurushi vya internet baada ya Voda kunibadilikia siku kadhaa baada ya uchaguzi sasa wananifyeka MB kwa kasi ya ajabu, wenye kutumia mitandao mingne vipi huko kwenu?
Halotel Royal Bundles pia zikoje?
Msaada tafadhali.