josephwaara
JF-Expert Member
- Jun 18, 2016
- 304
- 637
Heshima kwako, nimefikia hatua ya kuandika hapa ili kupata unafuu wa vifurushi vya internet baada ya Voda kunibadilikia siku kadhaa baada ya uchaguzi sasa wananifyeka MB kwa kasi ya ajabu, wenye kutumia mitandao mingne vipi huko kwenu?
Halotel Royal Bundles pia zikoje?
Msaada tafadhali.
Halotel Royal Bundles pia zikoje?
Msaada tafadhali.