Sasa nipo Yugoslavia.Baba haujaacha tuu!
Alafu kumbe VPN ina make mb ee?
Mmmmm! Mi toka nianze kuzitumia hizo VPN, naona kama hizo mb zangu zinakwisha kwa kasi!Hvi ni kweli VPN ina bana matumizi na kama ni kweli hebu mwenye kujua atuwekee hapa hayo maelezo
Nakubali😈Sasa nipo Yugoslavia.
Huyo jamaan ukimpata mkuu niiteKuna jamaa aliniambia kuna huduma tigo unapesa gb 48 za mwaka mzma kwa elfu 20.
KWA maana kla mwezi ukapewa gb 4 za internet
Mimi ninazo 6Nakukumbushia tu mwisho ni laini 4 tu. Ukizidi hapo DPP atakuhusu.
Andika b-internet APN halotelNisaidie access point ulivojaza mkuu mm halotel kwenye internet iko slow sana
Ivi kwanini Voda Moro super Uni ni 2000tsh GB 1 kwa wiki lakini mikoa mwingine Kama tanga, Pwani, DSM ni 1500tsh kwa wiki.Halotel mega bando
elfu 1 gb1 kwa wiki
elfu 3 gb3 kwa wiki
voda
Tanga uni ofa
1gb@1500 kwa wiki(dk150 voda+15mitandao yote
1gb@1000 kwa siku 3
Mitandao yote hyo ina kasi nzuri kwa sehemu niliyopo
Usijali mkuu ngoja nimcheki Mana aliniambia nisubir uchaguz upite..Huyo jamaan ukimpata mkuu niite
Hahahahah naona wameanza kufidia hasara ya 5.09 Billion walioripoti 2019/2020Heshima kwako, nimefikia hatua ya kuandika hapa ili kupata unafuu wa vifurushi vya internet baada ya Voda kunibadilikia siku kadhaa baada ya uchaguzi sasa wananifyeka MB kwa kasi ya ajabu, wenye kutumia mitandao mingne vipi huko kwenu?
Halotel Royal Bundles pia zikoje?
Msaada tafadhali.
Huyo jamaa anakuna kidevu tu, kipigo kikianza mtachakaa 😂Halotel akianza kuwapiga sijui mtakimbilia wapi😂😂😂😂