kifua kikubwa kwa mwanaume

kifua kikubwa kwa mwanaume

Nimegundua watu wasio na mazoezi wana maneno meeeeengi,nadhani hii ni deffensive mechanism
 
Namioneeni huruma kiasi flani! Hivi hamuelewi Mchesti wa kiivo unaendana na Mbilimbi ?
sutsfaction with Bamiaisms ? Is't demandable or marketable ?

unationea huruma......usinchekeshe we shem....
hivi unadhani kwa nini namng'ang'ania bebii wangu......?
sema hapa hapa nikusikie..
 
mkibeba vyuma msije mkapitiliza, mwisho wa sikumkawa mivifua mikubwaaaaaa, makalio vidunchu na vijimashine........

Vyuma mbebe kwa kiasi.....

Ila mwanaume kazi ya umodel ya nini?(huu ni mtazamo wangu tu....)

ha ha ha....!nimejaribu kucheka kwa loudspeaker lakini nimeshinda kwa sababu ulivyotaja kama umemjata jamaa yangu hivi mfano.mashine........
 
sasa jaman leo ndio nimezinduka kwa nini wanawake wananikataa,mimi napata riziki kwa njia ngumu ya ujenzi wa nyumba,ukibarua,au ukuli kule bandarini,nimefanya kazi hizi kwa muda mrefu sana,nimekomazwa nazo,nimejikuta nakuwa gitaa,halafu pochi yangu haituni kivile,basi leo ndio ntaumia roho siku nzima kila nikikumbuka warembo wanavyokataaga hata nikiwaita,kumbe huwa nawachefua na hili umbo langu dah...
 
unationea huruma......usinchekeshe we shem....
hivi unadhani kwa nini namng'ang'ania bebii wangu......?
sema hapa hapa nikusikie..

En'hee sema kinachokusuuza kwake!
Najua utashindwa ku'express in front of "kada wa mnasi "
kama unakijua Kisandawe , niandikie kwacho, sbabu ndo lugha pekee nchini inayoandikwa na watu wachache sana .
 
mie kifua ama body structure kama hili hooooooiiiiiii......... imagesCAU60B87.jpg
 
M'fua hin'haa!
Mashine kiduuuchuuu!
Inalipa ?
Labda !
Mie sijui .
Kwa nini sijui ?
Sababu mi ni consumer !
 
kifua sio ishu
inamata wallet tu kwa wadada
 
Hata kidali cha njiwa poa, mradi account inakitambi.
 
Hooot and Sexxxy!! akiku hug u feel the warmth....
Its cool kwa kweli!

A sexy bank a/c inahusika pia though! Lol
 
M'fua hin'haa!
Mashine kiduuuchuuu!
Inalipa ?
Labda !
Mie sijui .
Kwa nini sijui ?
Sababu mi ni consumer !

kifua kinapaswa kuwa cha wastan....
Tatizo wabongo wanajenga kifua kwa kupiga chuma, ambacho hata uzito kati ya pandw zake mbili hauwiani.....

Wanaishia kujaza vifua, na mashine kugeuka 'mbilimbi'.......
 
kifua sio ishu
inamata wallet tu kwa wadada

CUTE inapendwa wallet hapendwi mtu hapo.To hell with love..money first au sio!!??.Kazi ipo sana!!
 
Last edited by a moderator:
ooooh yeah.....this is mwanaume.......


oooh my dia Preta umeniangusha leo...unaangalia nyama izo ambazo hata kwenye sambusa zipo ndo unashangilia?...unaeza kuta ana MB Ndogo kinoma kiasi kwamba ukitingishika tu mnaanza upya!...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom