kifua kikubwa kwa mwanaume

kifua kikubwa kwa mwanaume

davy dan

Member
Joined
Mar 22, 2012
Posts
8
Reaction score
3
eti jamani ni lazima kwa model wa kiume kuwa mbeba vyuma?na je ni kwel kwamba wadada wanavutiwa na wanaume wenye vifua vikubwa?
 
eti jamani ni lazima kwa model wa kiume kuwa mbeba vyuma?na je ni kwel kwamba wadada wanavutiwa na wanaume wenye vifua vikubwa?

Ngoja tuwasubilie waje kutujibu, ila huwa ni wagumu kusema ukweli kama hujagusia mambo ya noti
 
mkibeba vyuma msije mkapitiliza, mwisho wa sikumkawa mivifua mikubwaaaaaa, makalio vidunchu na vijimashine........

Vyuma mbebe kwa kiasi.....

Ila mwanaume kazi ya umodel ya nini?(huu ni mtazamo wangu tu....)
 
kifua kikubwa cha nini kwani alipokupenda ulikuwa na hilo likifua kama tyson kama amekukuta nacho sawa,yanini kucomplicate mambo madogo kuwa makubwa kila mmoja ana vigezo vyake
 
Sio kibaya ukiwa na kifua cha wastani sio tena uwenakifua mpaka huko ikulu kuwe na mbirimbi haipendezi...
 
Hawa wabeba vyuma wanatuharibia sana soko sisi wazee tusio na misuli, anyway bado tunapeta
 
We jidanganye ubebe vyuma usitafute pesa, wanawake wanabdilika kama kinyonga, utabeba chuma alaf ana kumwaga anaenda kwa asiye nyanyua vyuma. Chezea wanawake wa siku izi weweeeeee.
 
mazoezi muhimu wakuu,yanaongeza chachu kwenye yale mambo yetu...viva sisi wanyaanyua vyuma..
 
eti jamani ni lazima kwa model wa kiume kuwa mbeba vyuma?na je ni kwel kwamba wadada wanavutiwa na wanaume wenye vifua vikubwa?

Mie siwapendi wanaume wenye vifua vikubwa......yaani siwapendi kabisa......
 
hapo kwenye maumbo gitaa nadhan ntacheka hadi kwenye ndoto davy dan.... Kwahyo sweetlady mwenye mali vyuma umemwambia apeleke wapi na kwa nn hupendi?
 
Last edited by a moderator:
Issue kifua kikubwa au kutengeneza mwili mzuri wa mazoezi? Maana kifua, mikono, miguu, tumbo lazima vibalance ili mtu uwe na muonekano mzuri
 
hapo kwenye maumbo gitaa nadhan ntacheka hadi kwenye ndoto davy dan.... Kwahyo sweetlady mwenye mali vyuma umemwambia apeleke wapi na kwa nn hupendi?


Mambo vipi Mapi.....siwapendi vile walivyojazia afu nakerekwa zaidi kama kavaa body tight lol....kweli sijawahi kuwapenda wala kuvutiwa nao.
 
Last edited by a moderator:
pouwa sweetlady inamana ukawa nae yupo kawaida baada ya mda akaamua kuanza utamkimbia ama? Na pengne umemshaur amegoma na bado moyo wako unadundia kwake
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom