Wewe unajuaje sasa?Ikifika imefika tu
Unajuaje ana ID zingine alianzisha 2006Dah ungekufa ungekuwa umekaa Jf less than a month.Pole
Kwa Id hii ndo hivoUnajuaje ana ID zingine alianzisha 2006
Hahahaa!!We acha tu... Niktazama historia yangu bado haina chochote cha maana.... Akazaliwa.... Akazulula... Akafa....
Pole sana mkuu.Niaje... Jana nilikwenda ofisi fulani za serikali... Nikaambiwa niede ofisi ipo upande wa pli wa barabara...
Palikua na mfereji wa maji si mkubwa mdogo tu... Nikasema niruke..
Ile kuruka mguu ukafikia vibaya.. Nikaenda kupiga mweleka hadi katkt ya barabara... Land cruised mkonga iko spidi ikapigia breki kchwani bado inikanyage tu.....
Nikatafuta usafiri nikarudi home... Usiku mzma naotaota tu lile tukio
Niaje... Jana nilikwenda ofisi fulani za serikali... Nikaambiwa niede ofisi ipo upande wa pli wa barabara...
Palikua na mfereji wa maji si mkubwa mdogo tu... Nikasema niruke..
Ile kuruka mguu ukafikia vibaya.. Nikaenda kupiga mweleka hadi katkt ya barabara... Land cruised mkonga iko spidi ikapigia breki kchwani bado inikanyage tu.....
Nikatafuta usafiri nikarudi home... Usiku mzma naotaota tu lile tukio
We acha tu... Niktazama historia yangu bado haina chochote cha maana.... Akazaliwa.... Akazulula... Akafa....
Niaje... Jana nilikwenda ofisi fulani za serikali... Nikaambiwa niede ofisi ipo upande wa pli wa barabara...
Palikua na mfereji wa maji si mkubwa mdogo tu... Nikasema niruke..
Ile kuruka mguu ukafikia vibaya.. Nikaenda kupiga mweleka hadi katkt ya barabara... Land cruised mkonga iko spidi ikapigia breki kchwani bado inikanyage tu.....
Nikatafuta usafiri nikarudi home... Usiku mzma naotaota tu lile tukio
Hahahaha hatari sanaWe acha tu... Niktazama historia yangu bado haina chochote cha maana.... Akazaliwa.... Akazulula... Akafa....
We acha tu... Niktazama historia yangu bado haina chochote cha maana.... Akazaliwa.... Akazulula... Akafa....
Ukiimaliza siku salama Ni Jambo la kumshukuru Mungu.Niaje... Jana nilikwenda ofisi fulani za serikali... Nikaambiwa niede ofisi ipo upande wa pli wa barabara...
Palikua na mfereji wa maji si mkubwa mdogo tu... Nikasema niruke..
Ile kuruka mguu ukafikia vibaya.. Nikaenda kupiga mweleka hadi katkt ya barabara... Land cruised mkonga iko spidi ikapigia breki kchwani bado inikanyage tu.....
Nikatafuta usafiri nikarudi home... Usiku mzma naotaota tu lile tukio
MUNGU NI MWEMA WAKATI WOTE.Niaje... Jana nilikwenda ofisi fulani za serikali... Nikaambiwa niede ofisi ipo upande wa pli wa barabara...
Palikua na mfereji wa maji si mkubwa mdogo tu... Nikasema niruke..
Ile kuruka mguu ukafikia vibaya.. Nikaenda kupiga mweleka hadi katkt ya barabara... Land cruised mkonga iko spidi ikapigia breki kchwani bado inikanyage tu.....
Nikatafuta usafiri nikarudi home... Usiku mzma naotaota tu lile tukio