Mpauko
R.I.P
- Jan 19, 2019
- 2,323
- 3,460
- Thread starter
- #81
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]nacheka kama mazuri
Hahaha ajali mbaya sana...[emoji28][emoji28][emoji28]...nilipasuka vby sana...bt am thanking God nilisurvive!
Ajali ya boda..tuko kwenye mteremko mkali balaa break ikakata...nikagundua ..kuuliza hasemi..kitu kikawa kinakimbia sijapata ona...he ghafla anapiga kelele dada tunakufaa...mie huyooo nikaruka[emoji23][emoji23][emoji23]..nikafikia kichwa..paaah...nilisikia kichwa kimepasuka km nazi...!hahahaha...goti likachomokea pemben[emoji134][emoji134]..Dk alisema kwa mteremko ule ulijiongeza sana kuruka..coz tulikua tunaend uvamia mti mkubwa sana...weee!mpk leo siwez kupiga goti kwa dakika hata 2.