Kifo tunatembea nacho jamani, ilibaki kidogo tu...

Kifo tunatembea nacho jamani, ilibaki kidogo tu...

Ni kweli inafaa kumshukuru sana mungu
Ukiimaliza siku salama Ni Jambo la kumshukuru Mungu.
Kila siku unapopata kibali Cha kuwa mzima Ni Jambo la kumshukuru Mungu.

Nilinifunza kumshukuru Mungu na nilijua umuhimu wa kuiona siku mpya siku nilipopata ajali ya gari...kwa hali ya kawaida ilikuwa si ya kupona..ila kwa huruma za Mungu nikapona

Hii ilinifundisha kuona kila siku inayopita kwangu Ni zawadi Mungu amenipa
 
Pole ndugu, ndiyo maana huwa tunakumbushwa tumtangulize Mungu kwa kila jambo, unatoka nyumbani kwako mwambie Mungu akulinde huko njiani huwezi juwa ni wapi shetani kakuwekea mtego
 
Ni kweli inafaa kumshukuru sana mungu
Sometimes nikikumbuka huwa machozi yananitoka
Yaani huwa nawaza niliponaje...huyu Mungu ni wa huruma Sana
Ile gari ilinichakaza vibaya...siku hizi yamebakia makovu..
Niliugulia vidonda yaani mwezi mzima,siongei,sitembei sili..nmeishi maisha ya kunywa juice kwa kwa mrija
Kutembea sawa nlianza baada ya mwaka mzima kupita
Ajali haina adabu..Tena inakuumiza popote pale

Watu waliowahi kupitia hii Hali watakuwa wanaelewa vizuri sababu ya kumshukuru Mungu kila iitwapo leo
 
Pole ndugu, ndiyo maana huwa tunakumbushwa tumtangulize Mungu kwa kila jambo, unatoka nyumbani kwako mwambie Mungu akulinde huko njiani huwezi juwa ni wapi shetani kakuwekea mtego
Shetani anaweza akakujaribu
Ila katika Hilo jaribu Mungu hujitwalia utukufu.

Nilikua na kawaida ya kufanya ibada kila siku..nakumbuka ile siku asbh saa4 nilienda ibadani..roho ikawa inanisukuma kusali Sana
Kumbe jioni nakutana na hayo majanga,
Mungu Akaona huyu mwanangu bado.

Niliweka nadhiri kwamba Mungu ukiniponya nitakutumikia...
Yaani kuishi kwangu Ni Kristo jamani[emoji3526]
 
Shetani anaweza akakujaribu
Ila katika Hilo jaribu Mungu hujitwalia utukufu
Nilikua na kawaida ya kufanya ibada kila siku..nakumbuka ile siku asbh saa4 nilienda ibadani..roho ikawa inanisukuma kusali Sana
Kumbe jioni nakutana na hayo majanga,
Mungu alivuokuwa mkuu akaniokoa kutoka ktk roho za mauti..
Akaona huyu mwanangu bado.

Niliweka nadhiri kwamba Mungu ukiniponya nitakutumikia...
Yaani kuishi kwangu Ni Kristo jamani[emoji3526]
Aisee , hakika Mungu ni mkuu sana ...na hongera kwa kuitimiza nadhiri uliyoweka ubarikiwe
 
Mwanamke uliyelala nae usiku wa kuamkia tukio achana naye kabisa. Yeye ni ule mlango wa kenda
 
Sometimes nikikumbuka huwa machozi yananitoka
Yaani huwa nawaza niliponaje...huyu Mungu ni wa huruma Sana
Ile gari ilinichakaza vibaya...siku hizi yamebakia makovu..
Niliugulia vidonda yaani mwezi mzima,siongei,sitembei sili..nmeishi maisha ya kunywa juice kwa kwa mrija
Kutembea sawa nlianza baada ya mwaka mzima kupita
Ajali haina adabu..Tena inakuumiza popote pale

Watu waliowahi kupitia hii Hali watakuwa wanaelewa vizuri sababu ya kumshukuru Mungu kila iitwapo leo
Du ...pole san..mwaka ni mkubwa sana aisee..mie nilitumia 3mths kukunja goti..uwii...ww ilikuwaj
 
Du ...pole san..mwaka ni mkubwa sana aisee..mie nilitumia 3mths kukunja goti..uwii...ww ilikuwaj
Nilikua natembea ila kwa kuchechemea..
Niliumia Sana mguu chini kwenye joint ya kiganja na mguu wenyewe ..baadhi ya mishipa ilikatika..Ila Mungu mkubwa sikuvunjika
Ila ndani ya miez mitatu nilitembea kwa matako na kutambaa..baadaye nikaanza kutembea kwa kuruka kwa mguu mmoja..bdae nikaanza kuchechemea..nlivyoanza kuchechemea nikaendelea na shule.
Baada ya mwaka nilianza kutembea sawa Bila kuchechemea.

Kwenye kula ilikuwa kasheshe..mdomo haufunguki,macho yameziba,,siongei,sioni
Dawa zenyewe nkawa nakunywa kwa mrija.
Chakula changu kilikuwa juice..au uji mlaini Sana..nakunywa kwa mrija
Kuna kipindi ilifika katika kuruka ruka nikajigonga nikajibamiza chini..nkafikia ule ule mguu jamani [emoji23][emoji23]..iacheni ajali iitwe ajali
Mziki ulikuwa kwenye kusafisha vidonda..yaani unahisi dunia inafika mwisho

Yaani siku nakuja kula sikuamini,,taratibu nilianza kula ila meno yalikuwa yanakufa ganzi sana
Taratibu Mdomo ulianza kufunguka nikaanza kuongea ..
Ilikuwa ajali ya gari...katika kuvuka gari ilitoka Kasi ikawa inaovertake gari ingine.kwa hiyo ikaingia upande usio wake na Mimi nilikua mwishoni ukingoni kabisa...ikaja ikakwangua mguu ikanipiga ikanitupa nje maana nilikua karibia na mwisho
Hii tar 2/2/12 huwa siisahau maishani mwangu.
 
Aisee , hakika Mungu ni mkuu sana ...na hongera kwa kuitimiza nadhiri uliyoweka ubarikiwe
Yaani Kuna muda nikikaa na kujitafakari.
Nawaza upendo wa Mungu...kwanini aliniacha mimi!??siku chache mbele Kuna dada alipata ajali pale pale na alizima palepale.nikapata jibu kuwa Mungu yupo,yupo kazini Ananipenda na anahitaji nimtumikie na kusudi alilonipa lazima nilitimize.

Huwa naumia Sana napofanya huduma chini ya kiwango ama nikifanya Mambo kinyume na mapenzi yake.
Najitahidi muda wote niwe kwenye mstari ulio sahihi,

Napata nguvu na huwa simuogopi shetani wala majaribu yake yake maana Mungu yupo upande wangu

Naijua thamani ya kuiona siku mpya
Thamani ya kuwa mzima siku nzima unaamka ,unatembea ,unaongea,unakula vzr Bila shida..hayo kwangu Ni Mambo makubwa
 
hahaa umesahauu
amezaliwa....... Akazurura.......akarukaruka rukaa...... Akagongwa....... Akafa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama mazuri vile..halafu kifo Cha ajali kibaya...unajikuta tu umekata ghafla
Kama ulikuwa hujatengeneza vizuri na Mungu yaani Ni kasheshe nyingine
 
Daaah pole sana
Sometimes nikikumbuka huwa machozi yananitoka
Yaani huwa nawaza niliponaje...huyu Mungu ni wa huruma Sana
Ile gari ilinichakaza vibaya...siku hizi yamebakia makovu..
Niliugulia vidonda yaani mwezi mzima,siongei,sitembei sili..nmeishi maisha ya kunywa juice kwa kwa mrija
Kutembea sawa nlianza baada ya mwaka mzima kupita
Ajali haina adabu..Tena inakuumiza popote pale

Watu waliowahi kupitia hii Hali watakuwa wanaelewa vizuri sababu ya kumshukuru Mungu kila iitwapo leo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom