Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,318
- 33,125
Watu wako wamelala hali wako hai na huwa macho baada tu ya kufa. kujielekeza kwa mabaki ya matamanio ya mtu ndiko kujiuwa haraka. Ufe kabla ya kifo kukuijia. Mauti inaidhihaki tamaa..
Mauti ni kutenganisha toka kitakachoisha na kuelekea kule pasipokwisha.. Kuikumbuka mauti kila mara kutampunguzia mtu tamaa za duniani.
Wale watembeao juu ya ardhi siku moja watazikwamo.. Tamaa hukuongoza katika njia ya upotofu.. Wakati hatuna matumaini huwa hatuhuzuniki..
Kufadhaika huwa pamoja na tamaa. Kinachoipatia madhara na hasara dini ni tamaa. Waroho ni watumwa wa matilabayao..
Kutokuwa na mategemeo kunaituliza na kuipumzisha roho. Uroho huuangamiza uadilifu. Ubinadamu ni wa aina mbili; wale wenye matamanio matupu na
wale watakao kuja kuwa wasioridhika.. Tamaa huingamiza hadhi ya mtu bila ya kuongezeka kwa bahati yake.
Hata kama wakiwa uchi na wenye njaa, hao walioridhika huwa ni wenye furaha.. Kuridhika ni hazina isiyo na kifani.. Kuridhika ni hadhi na heshima isiyodidimia milele. Mwenye kuridhika tu ndiye aishiee kwa amani na usalama.
Mauti ni kutenganisha toka kitakachoisha na kuelekea kule pasipokwisha.. Kuikumbuka mauti kila mara kutampunguzia mtu tamaa za duniani.
Wale watembeao juu ya ardhi siku moja watazikwamo.. Tamaa hukuongoza katika njia ya upotofu.. Wakati hatuna matumaini huwa hatuhuzuniki..
Kufadhaika huwa pamoja na tamaa. Kinachoipatia madhara na hasara dini ni tamaa. Waroho ni watumwa wa matilabayao..
Kutokuwa na mategemeo kunaituliza na kuipumzisha roho. Uroho huuangamiza uadilifu. Ubinadamu ni wa aina mbili; wale wenye matamanio matupu na
wale watakao kuja kuwa wasioridhika.. Tamaa huingamiza hadhi ya mtu bila ya kuongezeka kwa bahati yake.
Hata kama wakiwa uchi na wenye njaa, hao walioridhika huwa ni wenye furaha.. Kuridhika ni hazina isiyo na kifani.. Kuridhika ni hadhi na heshima isiyodidimia milele. Mwenye kuridhika tu ndiye aishiee kwa amani na usalama.