Kifo kipoje?

ndege JOHN

JF-Expert Member
Aug 5, 2015
19,568
44,770
Nina swali kwenu ma great thinker mtu ukiwa umekufa unawaza hisia gani maana Kuna hali mbili najaribu kuzifikiria.hali ya Kwanza labda unakuwa Kama mtu asiye na macho kabisa ila roho yako inatupwa gizani maanake unakuwa unajihisi kbs Kama uzito wa roho upo ila ndo mwili hauna roho inaendelea tu kusafiri gizani au ukifa labda Kuna hali nyingine Kama mtu asiyehisi chochote kabisa yaani hisia zile za hakuna Kama ulivyokuwa bado hujazaliwa karne za nyuma huko?.
 
Hapo dawa ni kufanya tu experiment ili upate majibu sahihi. Chukua kamba ya katani, sokota kitanzi, tafuta wadau wawili watatu wa kukupa huduma ya kwanza kwa haraka, halafu jitie hicho kitanzi. Halafu wakuache ukining'inia kwa dakika kadhaa kabla ya kukuokoa.

NB: Kiufupi baada ya kifo, hutaweza kusikia/kuhisi chochote. Mtihani mgumu ni pale unapotaka kukata roho! Eneo lile linaoneka ni gumu sana kwa watu wengi. Huenda marehemu hupatwa na maumivu makali sana. Na sababu za maumivu hayo, ni nyingi sana.
 
kuna watu wanakufa huku wanapiga stori vzr kbs..km mamaangu alikuwa anaongea huku ananiambia niwekee kitambaa cha maji miguuni huku ananiambia hivi wee kazini uliomba ruhusa mda gani nakuona upo upo tuu fanya uende!!daahh dkk mbili nyingi hata nilijua amelala tuu
 
Hapo dawa ni kufanya tu experiment ili upate majibu sahihi. Chukua kamba ya katani, sokota kitanzi, tafuta wadau wawili watatu wa kukupa huduma ya kwanza kwa haraka, halafu jitie hicho kitanzi. Halafu wakuache ukining'inia kwa dakika kadhaa kabla ya kukuokoa.

NB: Kiufupi baada ya kifo, hutaweza kusikia/kuhisi chochote. Mtihani mgumu ni pale unapotaka kukata roho! Eneo lile linaoneka ni gumu sana kwa watu wengi. Huenda marehemu hupatwa na maumivu makali sana. Na sababu za maumivu hayo, ni nyingi sana.
Nilisikia ukifa Kuna valve fulani kwenye moyo huwa Ina ji shutdown Kama vile mageti mawili yabamizwe paaaa....Hapo ndo hatujui sote maumivu yake maana baada ya Hapo kweli kunabaki kimya Kama vile hata upepo hamna kuhusu marehem
 
Nilisikia ukifa Kuna valve fulani kwenye moyo huwa Ina ji shutdown Kama vile mageti mawili yabamizwe paaaa....Hapo ndo hatujui sote maumivu yake maana baada ya Hapo kweli kunabaki kimya Kama vile hata upepo hamna kuhusu marehem
Kifo ukisikie tu kwa jirani. Usiombee ufiwe na mpendwa wako, na bahati mbaya ushuhudie zoezi zima! Aisee inachukua muda mrefu sana kusahau.
 
Ishu kwenye kutoka roho labda ukiwa unakufa maumivu yake=kuzibwa mdomo na pua
Watu wa Dini tofauti wanakielezea kifo kadili ya maandiko ya Dini zao zinavyosema
Mfano Kwa waislamu roho ya mtu aliyetenda dhambi inavyotoka inatoka Kwa maumivu makali Sana na baada ya kifo mateso yanaendelea huko aendako.Lakini Kwa wakristo Biblia inaelezea tofauti.Biblia inasema pumzi umtoka mtu na roho umrudia muumba wake kisha mwili huoza,roho inasubiri siku ya hukumu baada ya kufa.Pia Biblia inasema hakuna tofauti yoyote kati ya mnyama na binadamu pale wanapokufa

Mahubiri 9:5.kwa sababu walio hai wanakuwa kuwa watakufa,lakini wangu hawajui neno lolote

Mhubiri9:10.Lolote mkono wako utakalolipata kufanya,lifanye Kwa nguvu zako zote;Kwa kuwa hakuna kazi,wala shauri,wala maarifa,wala hekima huko kuzimu uendako wewe

Note:Kama unataka kufa kifo cha bila maumivu jaribu kuwasha jiko la mkaa kisha liweke chumbani kwako,funga milango na madirisha visipitishe hewa kisha lala

Kesho yake tutakuimbia parapanda
 
Nina swali kwenu ma great thinker mtu ukiwa umekufa unawaza hisia gani maana Kuna hali mbili najaribu kuzifikiria.hali ya Kwanza labda unakuwa Kama mtu asiye na macho kabisa ila roho yako inatupwa gizani maanake unakuwa unajihisi kbs Kama uzito wa roho upo ila ndo mwili hauna roho inaendelea tu kusafiri gizani au ukifa labda Kuna hali nyingine Kama mtu asiyehisi chochote kabisa yaani hisia zile za hakuna Kama ulivyokuwa bado hujazaliwa karne za nyuma huko?.
Kwa nini uandikie mate?
Kionje kifo uone kilivyo kitamu.
No pain, no feelings.
Just mum!
 
Jaribu kuwaza ulikuwa wapi kabila hujazaliwa...huko ulikokuwa ndipo huko unapopotelea daada ya kufa..... na uzuri wa kifo in few seconds kabla hujafa yaani hujakata fahamu ni lazima ujue sasa unakufa..utakachoona ni kiza then haupo..

Kifo ni fumbo kuu, wakati kifo kinakuchukua huwezi kujua sasa ndiyo nakufa hapana, ni sawa na mlala usingizi, utajua ulikuwa kitandani saa ngapi ila muda hawa usingizi unapokuchukua huwezi kujua..
 
Mimi naona swali la msingi je utajuaje kama ushakufa yaani hauishi tena hapa duniani kama wengine?
 
Kufa ni kama kupotelea kwenye usingizi mzito sana, hamna maumivu yoyote utakayohisi - na wengi wanaokufa huwa hata hawajui kama wanakufa isipokuwa kwa zile dalili walizozijua wakiwa wazima, nje ya hapo hudhani wanazimia tu na watazinduka.

Unakumbuka ile siku umechoka sana then ukapitiwa na usingizi bila kujijua, then thus how death is.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom