Kifo cha upinzani baada ya Uchaguzi

Kifo cha upinzani baada ya Uchaguzi

illmatic88

Member
Joined
May 16, 2015
Posts
30
Reaction score
27
Napenda kujitambulisha kuwa mimi sio mwananchama wa chama chochote kile cha siasa kwa sababu sijaona chama ambacho kina yale ambayo mi nataka.

Tuje kwa point, Vyama vinavyounda umoja wa " Ukawa" vikiwa na Mgombea wao katika Ngazi ya Uraisi "EL" vimeamua kutake risk kwa kumsimamisha yule ambae walimpaka matope wao awe mgombe wao wa Raisi... Uzuri wa Uamuzi wa Ukawa ni kwamba wakishinda its a "Win Win" lakini wakishindwa inakuwa Total annihilation.

Mpaka sasa ni ukweli uliokuwa wazi kabisa kuwa ukawa wana ushawishi katika baadhi ya Majiji na sehemu za mjini, sehemu zilizobakia CCM ni dominant Figure kitu ambacho kitaifanya CCM ishinde hata bila goli la mkono .

Baada ya Ukawa kushindwa katika Ngazi ya Urais, itawawia vigumu sana kuwa na nguvu kubwa waliyokuwa nayo, sote tukijua Nguvu kubwa na ushawishi wa Chadema ilijengwa kutokana na agenda yao kupinga Ufisadi, ila kutokana na Moja ya watuhumiwa maarufu zaidi ya Ufisadi kujiunga nao hawatakuwa na jipya kuhusiana na Ufisadi wao Pamoja na vyama vingine vya UKAWA...

Upinzani utakuja kurudi kwenye nguvu yake kama tu vile vyama ambavyo havikuwa na Nguvu hivi sasa vitaonyesha kuwa vinaweza kuleta mabadiliko ya ukweli ambayo yataweza kuitikisa CCM.
 
Napenda kujitambulisha kuwa mimi sio mwananchama wa chama chochote kile cha siasa kwa sababu sijaona chama ambacho kina yale ambayo mi nataka.

Tuje kwa point, Vyama vinavyounda umoja wa " Ukawa" vikiwa na Mgombea wao katika Ngazi ya Uraisi "EL" vimeamua kutake risk kwa kumsimamisha yule ambae walimpaka matope wao awe mgombe wao wa Raisi... Uzuri wa Uamuzi wa Ukawa ni kwamba wakishinda its a "Win Win" lakini wakishindwa inakuwa Total annihilation.

Mpaka sasa ni ukweli uliokuwa wazi kabisa kuwa ukawa wana ushawishi katika baadhi ya Majiji na sehemu za mjini, sehemu zilizobakia CCM ni dominant Figure kitu ambacho kitaifanya CCM ishinde hata bila goli la mkono .

Baada ya Ukawa kushindwa katika Ngazi ya Urais, itawawia vigumu sana kuwa na nguvu kubwa waliyokuwa nayo, sote tukijua Nguvu kubwa na ushawishi wa Chadema ilijengwa kutokana na agenda yao kupinga Ufisadi, ila kutokana na Moja ya watuhumiwa maarufu zaidi ya Ufisadi kujiunga nao hawatakuwa na jipya kuhusiana na Ufisadi wao Pamoja na vyama vingine vya UKAWA...

Upinzani utakuja kurudi kwenye nguvu yake kama tu vile vyama ambavyo havikuwa na Nguvu hivi sasa vitaonyesha kuwa vinaweza kuleta mabadiliko ya ukweli ambayo yataweza kuitikisa CCM.
Usiwe na wasiwasi mkuu upinzani(CCM&ACT) utakuwepo tu.
 
Hizi hadithi zako, aliziongea sana mh. Wasira. Muda aliotabiri upinzani ufa umepita na tumebaini kuwa upinzani umeimarika sana. Labda alikuwa sahihi kwa kutabiri ya kuwa UPINZANI utakufa na kuwa WATAWALA.
 
Sa hivi hata compain hazijafunguliwa, wewe ushaanza kitabili kifo cha chama baada ya uchaguzi, acha kutuvuruga wakati sisi akili zetu zipo Arusha...
 
Umesema huna chama ila ukiongea hivyo nyumbu watakuita wewe ni CCM ..karibu sana
 
Watu wana muhemko saa hii hata ukiongea nini hutaeleweka, . . . . . Gamble time. . . .Whisky and Ice till dawn
 
Hata CCM imepata haueni na silaha za kutosha kupigana na ufisadi, kwani mafisadi wakubwa wamekimbilia CDM. Najiuliza, CDM itapigania nini, kwani ni chama ambacho kilijizoelea umaarufu kupitia kwa Dr. Slaa kwa kuwa namba moja mpinga ufisadi aliyeweka maisha yake hatarini kulikomboa taifa toka kinywani mwa mafisadi. Tundu Lisu na Msigwa watapambana na mafisadi gani wakati CDM ndio kimbilio la mafisadi?
 
Mwisho wa mafisadi CCM nitarehe 25 october baada ya hapo CHADEMA wataendelea kupigania maendeleo ya wananchi.
 
Hata CCM imepata haueni na silaha za kutosha kupigana na ufisadi, kwani mafisadi wakubwa wamekimbilia CDM. Najiuliza, CDM itapigania nini, kwani ni chama ambacho kilijizoelea umaarufu kupitia kwa Dr. Slaa kwa kuwa namba moja mpinga ufisadi aliyeweka maisha yake hatarini kulikomboa taifa toka kinywani mwa mafisadi. Tundu Lisu na Msigwa watapambana na mafisadi gani wakati CDM ndio kimbilio la mafisadi?

mkuu kwani hujui mafisadi siku hizi ni km wameanzisha chama chao.... kinaitwa chama kimbilio la mafisadi
 
Napenda kujitambulisha kuwa mimi sio mwananchama wa chama chochote kile cha siasa kwa sababu sijaona chama ambacho kina yale ambayo mi nataka.

Tuje kwa point, Vyama vinavyounda umoja wa " Ukawa" vikiwa na Mgombea wao katika Ngazi ya Uraisi "EL" vimeamua kutake risk kwa kumsimamisha yule ambae walimpaka matope wao awe mgombe wao wa Raisi... Uzuri wa Uamuzi wa Ukawa ni kwamba wakishinda its a "Win Win" lakini wakishindwa inakuwa Total annihilation.

Mpaka sasa ni ukweli uliokuwa wazi kabisa kuwa ukawa wana ushawishi katika baadhi ya Majiji na sehemu za mjini, sehemu zilizobakia CCM ni dominant Figure kitu ambacho kitaifanya CCM ishinde hata bila goli la mkono .

Baada ya Ukawa kushindwa katika Ngazi ya Urais, itawawia vigumu sana kuwa na nguvu kubwa waliyokuwa nayo, sote tukijua Nguvu kubwa na ushawishi wa Chadema ilijengwa kutokana na agenda yao kupinga Ufisadi, ila kutokana na Moja ya watuhumiwa maarufu zaidi ya Ufisadi kujiunga nao hawatakuwa na jipya kuhusiana na Ufisadi wao Pamoja na vyama vingine vya UKAWA...

Upinzani utakuja kurudi kwenye nguvu yake kama tu vile vyama ambavyo havikuwa na Nguvu hivi sasa vitaonyesha kuwa vinaweza kuleta mabadiliko ya ukweli ambayo yataweza kuitikisa CCM.

CCM ndio itakayokufa, na haita kuwepo tena baada ya October 25 2015. This is the word from God the creator of heaven and earth. Mark my words.
 
Tangu lini mlikubali kuwa ni mafisadi? Mngeonyesha mfano kama mngewakata wote waliohusika kwenye
sakata la escrow lakini wamepita wote.

Ccm mmechanganikiwa sasa hao watu mmekaa nao miaka yote mkiwatetea leo mnaona sasa ni mafisadi
mmekamatika pabaya
 
Kifo cha upinzani baada ya uchaguzi unamaanisha kifo cha ccm maana ndio watakuwa wapinzani

unadanganya kwamba hauna chama,do you think that you can deceive all the people at the same time?

Hizo comment zako ni kama mfa maji tu.kama chadema ilikuwa na nguvu mbona hujajiunga nayo

leo nape anamsifia dr slaa wakati alikuwa anamtukana siku zote mmechanganikiwa sasa
 
Hata CCM imepata haueni na silaha za kutosha kupigana na ufisadi, kwani mafisadi wakubwa wamekimbilia CDM. Najiuliza, CDM itapigania nini, kwani ni chama ambacho kilijizoelea umaarufu kupitia kwa Dr. Slaa kwa kuwa namba moja mpinga ufisadi aliyeweka maisha yake hatarini kulikomboa taifa toka kinywani mwa mafisadi. Tundu Lisu na Msigwa watapambana na mafisadi gani wakati CDM ndio kimbilio la mafisadi?

Mkuu kwanza hilo dude( ccm) litoke njiani. Mambo mengine yatajiseti
 
Napenda kujitambulisha kuwa mimi sio mwananchama wa chama chochote kile cha siasa kwa sababu sijaona chama ambacho kina yale ambayo mi nataka.

Tuje kwa point, Vyama vinavyounda umoja wa " Ukawa" vikiwa na Mgombea wao katika Ngazi ya Uraisi "EL" vimeamua kutake risk kwa kumsimamisha yule ambae walimpaka matope wao awe mgombe wao wa Raisi... Uzuri wa Uamuzi wa Ukawa ni kwamba wakishinda its a "Win Win" lakini wakishindwa inakuwa Total annihilation.

Mpaka sasa ni ukweli uliokuwa wazi kabisa kuwa ukawa wana ushawishi katika baadhi ya Majiji na sehemu za mjini, sehemu zilizobakia CCM ni dominant Figure kitu ambacho kitaifanya CCM ishinde hata bila goli la mkono .

Baada ya Ukawa kushindwa katika Ngazi ya Urais, itawawia vigumu sana kuwa na nguvu kubwa waliyokuwa nayo, sote tukijua Nguvu kubwa na ushawishi wa Chadema ilijengwa kutokana na agenda yao kupinga Ufisadi, ila kutokana na Moja ya watuhumiwa maarufu zaidi ya Ufisadi kujiunga nao hawatakuwa na jipya kuhusiana na Ufisadi wao Pamoja na vyama vingine vya UKAWA...

Upinzani utakuja kurudi kwenye nguvu yake kama tu vile vyama ambavyo havikuwa na Nguvu hivi sasa vitaonyesha kuwa vinaweza kuleta mabadiliko ya ukweli ambayo yataweza kuitikisa CCM.

CCM ikishinda uchaguzi mwaka huu,nitatembea uchi kwa muda wa wiki moja
 
Kwahiyo lowasa asingejitoa ccm mngesemaje?Mbona akina Chenge wamebaki na wamepitishwa kugombea?Maadili yako wapi?Chama ndio pango kuu,lazima tulifumue kwanza pango na ndio tuanze kudeal na mtu mmoja mmoja,ccm itoke kwanza!
 
Back
Top Bottom