Mkondakaiye
JF-Expert Member
- Dec 5, 2011
- 838
- 174
Yaaani hizi angejitumia yeye mwenyewe kama mwenyekiti wa chama...ndo tabu hii watu wagonjwa bado tu mnatiamajitiamaji kuwasimamisha wagombee..haya sana mnaleta uchaguzi usio hata wa lazima..muwe mnapima wagombea afya kama wanavofanya timu za mpira ulaya..
Mimi na subiri kauli ya tendwa kuhusu gharama za uchaguzi.