Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

Nyerere mpaka kufikia nchi inapata uhuru alisaidiwa sana na waislam, waislqm ninaowazungumzia sio hawa wanaoneza chuki bali wale wanaofata dini haswa.
Kama waislam hao wangekuwa na mtazamo kama wako ama tungechelewa kupata uhuru au tungekuwa nchi yenye vurugu.
Kwa sababu ilikulia pwani unaamini nchi hii bila waislamu haiwezekani wakina sheikh Ramiya wangekuwepo leo wangekuchapa viboko baada ya kusikia mawazo yako ya chuki dhidi ya dini nyingine.
Nyerere alitaifisha shule nyingi ambazo zilikiwa zinamilikiwa na wakiristo ili kupndpa hofu ya wazazi wa kioslamu ambao waliamini watoto wao wangeenda kusoma huko wangebadilishwa dini.
Waliofaidika na nyumba za NHC wengi ni waislamu kwa sababu mradi uliwakuta na wengi waliuza.
Maeneo mengi ya Dar es salaam yalikuwa yakimilikiwa na waislamu lakini wameuza kupitia maeneo hayo mngeweza kukenga shule, mahospital na kufanya mambo mengi ya maendeleo.
Kwa umri wako ungeacha kuhubiri chuki.
Wakati nasoma Iringa nilikuwa rafiki na watoto wa shehe wa mkoa lakini nilikiwa nikienda kwao walikuwa wananichikulia kama mtoto wa familia na hakuwaho hata siku moja kuhubiri chuki dhidi ya dini nyingine na pia nimeisho na waislamu wengo tukishorikiana kwa shida na raha .
 
Kanisa Katoliki lina chuki gani na Waislam? Je kwanini hawataki wapate elimu nzuri?
Kwanini Waislam wana chuo kikuu kimoja tu nchi nzima?
Tajiri...
Waislamu walikuwa wanajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 chini ya uongozi wa Mufti Sheikh Hassan bin Ameir na uongozi wa EAMWS.

Mwalimu Julius Nyerere aliweka jiwe la msingi wa chuo hicho.

Baada ya kitendo hicho akaamuru Sheikh Hassan bin Ameir akamatwe na arudishwe ''kwao'' Zanzibar na asiruhisiwe tena kuingia Bara.

Baada ya hili kufanyika EAMWS ikapigwa marufuku na ikaundwa BAKWATA.
Kwanza tosheka na haya hayo ya kuwa na chuo kimoja yasubiri kwanza.
 
Tajiri...
Kanisa Katoliki lina nguvu kubwa sana.

Tatizo hili halikupewa nafasi ya kujadiliwa katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma.

Mwalimu Nyerere alizuia agenda hii isijadiliwe

Uamuzi ukawa kumtoa Prof. Malima katika Wizara ya Elimu.

Nimeeleza hili katika video.

lkn promoter na mteteaji mkuu mkuu wa islam duniani ni Kanisa katoliki, ukuaji wa islam duniani hasa west unachochewa na Kanisa katoliki, muslims wanahamia kwa wingi eu na USA na watetezi wakubwa na wanaowawezesha kufiika na kuishi huko ni Kanisa Katoliki, hivyo iweje useme kwamba Kanisa Katoliki liko against islam? isitoshe kama ni kweli Kanisa lingekuwa against muslims kama unavyosema muslims wengi walio na nafasi leo hii serikalini siajabu wasingeweza kuzipata, muslims karibia wote walielimishwa na baadaye kupewa nafasi in colonial governments na hao akina sykes unaowasifia kila siku bila ya Kanisa siajabu wasingefikia walipofikia.

wakaloni walikuwa na uwezo wa kuwabagua muslims by 100% na kuwatenga kabisa kwa muda wote waliokuwepo hapa lkn haikuwa hivyo, kwanza muslims (arabs, pakis, iran) walikuwa second class au daraja la 2 baada ya wazungu i.e 1. wazungu 2. muslims (arabs, pakis, irans) 3. blacks people (wote Christians and Muslims blacks) walikuwa daraja la 3 au unafikiri kwa nini mpaka leo miji mikubwa kuna maeneo kama uzunguni, uhindini na uswahilini? hiyo ilikuwa ni apartheid, au unafikiri hawa muslims arabs, pakis, iran matajiri leo hii utajiri wao ulitokea wapi?

hivyo utetezi wako wa muslims ni wa kijinga na wa hatari sana kwa maana black people wote (Christians and Muslims) walikuwa daraja la 3 na muslims arabs, pakis and iran walikuwa ni privilleged group wakati wa ukoloni wote wa english monarchy au unafikiri ni kwa nini idi amini ambaye alikuwa muslim alifukuza asian muslims wengi tu?

ningekuelewa kama ungetetea haki ya mtu mweusi muslim lkn unaanza kuteteta arabs, pakis na irans ambao walikuwa tayari ni privileged class na ndiyo wanufaika wakubwa wa ukoloni wakati wewe ni black man (kwa muonekano wako atleast kwenye video zako) kwangu mimi unaonyesha ni jinsi gani usivyojitambua.

watu kama wewe, shehe mwaipopo & co. ndiyo sababu black people (wote Christians na Muslims) bado wako chini, mnatumika kumkandamiza mtu mweusi wakati ninyi wenyewe ni black people, unajifanya unatetea haki ya muslims lkn in actuality unatetea haki za arabs, pakis, irans na siyo muslims blacks, sasa hivi serikali inapanga kuwahamisha na kuwafurumusha tmk kupisha miradi ya arabs, pakis, irans mbona hauendi kuwatetea na wengi wao wanaofukuzwa ni black muslims kama wewe lkn najua hauwezi kwa maana unatumika against your own people ...
 
Tajiri...
Waislamu walikuwa wanajenga Chuo Kikuu mwaka wa 1968 chini ya uongozi wa Mufti Sheikh Hassan bin Ameir na uongozi wa EAMWS.

Mwalimu Julius Nyerere aliweka jiwe la msingi wa chuo hicho.

Baada ya kitendo hicho akaamuru Sheikh Hassan bin Ameir akamatwe na arudishwe ''kwao'' Zanzibar na asiruhisiwe tena kuingia Bara.

Baada ya hili kufanyika EAMWS ikapigwa marufuku na ikaundwa BAKWATA.
Kwanza tosheka na haya hayo ya kuwa na chuo kimoja yasubiri kwanza.
Eneo hilo liko wapi leo?
 
Sema baada ya Malima kulalamika ndio ukaanza utaratibu wa kutumia namba kwenye mitihani badala ya majina sema walikua wanauziwa mitihani yeyote mwenye nguvu.
Hapana. Mfumo wa namba hakuanzisha Malima. Mwaka kuna Kaka zetu wamefanya mitihani hiyo kwa namba kabla ya Malima. Ni uongo aliokuwa anaeneza Mohammed Said, na hapa JF mjadala huo ulishawahi kuwapo na ikathibitika hivyo.

Mzee Mohammed mjanja sana anapotia sumu, kwanza jambo kama hilo atalisema na ikiwa mtabaini uongo analiacha kwa muda halafu anarudia, akiambiwa tena anarudi kivingine, sasa hapo hatazungumzia moja kwa moja!
 
Hapana. Mfumo wa namba hakuanzisha Malima. Mwaka kuna Kaka zetu wamefanya mitihani hiyo kwa namba kabla ya Malima. Ni uongo aliokuwa anaeneza Mohammed Said, na hapa JF mjadala huo ulishawahi kuwapo na ikathibitika hivyo.

Mzee Mohammed mjanja sana anapotia sumu, kwanza jambo kama hilo atalisema na ikiwa mtabaini uongo analiacha kwa muda halafu anarudia, akiambiwa tena anarudi kivingine, sasa hapo hatazungumzia moja kwa moja!
Sema ulianza lini mkuu mbona rahisi bhana mimi najua huyo Malima ndio alianza hizo kelele na pia kuhusu wasahishaji mimi sio mdini tueleweshane tu mazee dini ni za waarabu na wazungu sisi tumeruthishwa ndio maana watu weusi waliokua wanakamatwa Iran na unga miaka ya nyuma walikua wanafungwa jela hawanyongwi kwa sababu waliamini hatuna dini tumefata mkumbo tu..
 
Sema ulianza lini mkuu mbona rahisi bhana mimi najua huyo Malima ndio alianza hizo kelele na pia kuhusu wasahishaji mimi sio mdini tueleweshane tu mazee dini ni za waarabu na wazungu sisi tumeruthishwa ndio maana watu weusi waliokua wanakamatwa Iran na unga miaka ya nyuma walikua wanafungwa jela hawanyongwi kwa sababu waliamini hatuna dini tumefata mkumbo tu..
Mimi sijazungumzia Dini kabisa. Kwa nini udhani hivyo. Kaka mkubwa kamaliza darasa la saba 1982/83 na walitumia namba. Kighoma Malima alikuwa Waziri wa Elimu Mwaka gani? Sisi wengine tukiwa pembeni tumesoma hapa JF na watu wakathibitisha mfumo wa namba ulianza kabla ya Mzee Kighoma Malima.
 
Sema ulianza lini mkuu mbona rahisi bhana mimi najua huyo Malima ndio alianza hizo kelele na pia kuhusu wasahishaji mimi sio mdini tueleweshane tu mazee dini ni za waarabu na wazungu sisi tumeruthishwa ndio maana watu weusi waliokua wanakamatwa Iran na unga miaka ya nyuma walikua wanafungwa jela hawanyongwi kwa sababu waliamini hatuna dini tumefata mkumbo tu..
Kwa kukusaidoa, Sheria ya bunge namba 21 ya mwaka 1973 ilianzisha mfump wa namba Kwa watahiniwa baada ya Necta kuanzishwa
 
Kwa kukusaidoa, Sheria ya bunge namba 21 ya mwaka 1973 ilianzisha mfump wa namba Kwa watahiniwa baada ya Necta kuanzishwa
Sijaangalia hiyo video, ila najua hiyo sumu Mzee wetu kawamezesha wengi na akijua ni uongo. Sijui ina tija gani!! Isanga family kama ulikuwa unaamini mfumo wa namba umeanzishwa na Marehemu Kighoma Malima basi chanzo chake ni Mzee wetu hata kama ulisikia hilo mwanzo kutoka kwa mwingine. Mzee wetu huwa haoni haya kumsingizia Marehemu.
 
Sema baada ya Malima kulalamika ndio ukaanza utaratibu wa kutumia namba kwenye mitihani badala ya majina sema walikua wanauziwa mitihani yeyote mwenye nguvu.
Mfumo wa number ulianza kutumika mwaka gani? Na Malima amekua waziri wa Elimu mwaka gani?
 
Mimi sijazungumzia Dini kabisa. Kwa nini udhani hivyo. Kaka mkubwa kamaliza darasa la saba 1982/83 na walitumia namba. Kighoma Malima alikuwa Waziri wa Elimu Mwaka gani? Sisi wengine tukiwa pembeni tumesoma hapa JF na watu wakathibitisha mfumo wa namba ulianza kabla ya Mzee Kighoma Malima.
Mwaka 1987 Kighoma Malima alikuwa waziri wa elimu nina story kuhusu yeye nitaishare
 

10:25 "Na mji mzima wa Dar es salaam ni mimi peke yangu nilikuwa na computer nyumbani".

Wewe mzee ulipita nyumba zote Dar es salaam?

Mbona sisi kwetu tulikuwa na computer nyumbani miaka ya mwanzo ya 1990s tunacheza chess kabla ya Windows 95 haijatoka na rafiki zetu wachache walikuwa na computers nyumbani kwao?

Nilikuwa na rafiki zangu wana computers (PC) na Atari tunacheza PC games na Atari games mwaka 1991.

Mbona unajipotezea credibility kwa vitu vidogo kama hivi kwa namna ambayo hata kwenye vitu vikubwa tunaanza kuhoji kama unasema kweli?

Unafananisha maziko ya Abdul Sykes yaliyotokea mwaka 1968 wakati Tanzania ina watu milioni 12 na Dar es salaam haikufika hata watu laki tatu na nusu na maziko ya Kighoma Malima mwaka 1995 ambapo nchi ilikiwa na watu milioni 29, more than double the population of 1968, na Dar es salaam ilikiwa na watu milioni 1.8, zaidi ya mara tano ya population ya 1968?

Mwanahistoria unajua timeline na proportionality au unahesabu watu tu?
 
Interested,
Nimeandika kitabu kizima na kikachapwa London mwaka wa 1998.

Nilichoeleza alichoeleza Prof. Malima kiko wazi kuwa Wizara ya Elimu ilikuwa inawahujumu Waislamu.

Waislamu wahujumiwe kwa kipi? Wao Elimu ya amali au Dunia hawataki, wako bize na Juzuu,
Hebu huko na wewe. Usitudanganye hapa, haya na sahivi wanahujumiwa na nani mbona wanaogoza kwa kufeli.
Lol
 
Sema baada ya Malima kulalamika ndio ukaanza utaratibu wa kutumia namba kwenye mitihani badala ya majina sema walikua wanauziwa mitihani yeyote mwenye nguvu.

Utaratibu was namba umeanza 2012, kwani 3011 mtoto was Jakaya Kikwete was kuitwa Mwana Asha. Alipata sijui 4 sijui 0 4m 4.
Ndipo ukaanzishwa utaratibu was namba.
 
Sema baada ya Malima kulalamika ndio ukaanza utaratibu wa kutumia namba kwenye mitihani badala ya majina sema walikua wanauziwa mitihani yeyote mwenye nguvu.
Nani kakwambia? Namba zilianza kutumika tangu miaka ya Sabini huko, wewe ulisoma lini? Uliza uambiwe au soma majarida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom