Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995

Kifo Cha Prof. Kighoma Malima 1995


Mambo kama haya ungeandika kabla ya Nyerere au wengine kufa ungenishawishi sana. Mnachagua muda wa kuandika.

Unasema hali za waislamu waliogombania uhuru zilikua taabani, je wakristu hali zao zilikua nzuri? Sijaona sehemu inayoishi waislamu masikini na wakristu wenye afadhali, wote taabani, si magomeni, ilala, tandika kote huko.

Uongozi na udini vitu viwili tofauti.
 

Halafu wewe mzee kiukweli unamkosea sana Nyerere nimekumbuka. Ilala, Magomeni, Kinondoni, Temeke- zote hizi. City Proper ya wakati wa Nyerere, alianzisha NHousing, zile nyumba zilijengwa kwa mipango miji owners walikuwa wale wenye viwanja vyao na wenye nyumba walikua 99% waislam hata huo mtaa wa Takadir umejengwa na huyu huyu mzee unayemsema vibaya. Hapo kuna wakristu wa gapi walifaidi hilo?
Kote huko, Mkadini, idrissa, pangani, Lindi hiyo mitaa.

Unaandika uongo
 

Kuhusu Elimu sina utaalamu ila kusema wakristu walipendelewa? Kumbuka kwenye mitihani yote tulikua hatufanyi kwa majina yetu. Sote tunapewa namba. Hata kwenye marking scheme kuna namba. Sasa hao wasahihishaji gani walijua hii namba ni ya nani? Na jina lipi? Dini?

Loophole inaweza kuwepo baada ya matokeo wakati wa kuchomeka watu wao lakini tu baada ya uchaguzi wa wanafunzi umefanyika. Na kingine kwenye wizi wa mitihani in advance.

Ukabila? Labda lakini ni wakati wa kuchimekeza hasa ukikumbuka Waziri wa kwanza alikuwa …., Eliufoo (samahani kwa wachaga) lakini siyo suala la siasa za Nyerere.

Ukabila ulikuwepo hasa kwenye ajira kuchimekea hasa mashirika kama NDC, Bank na National Insurance. Mnajua wenyewe naema nani. Hao.
 
Wewe Mzee ni muongo, tapeli na mdini. Watu kama nyie ni hasara kwa taifa. Kila saa uchochezi, Rais ni mwislamu kwanini usimpelekee hizo changamoto Kila saa kumlaumu Nyerere. Very stupid idiot.
Halafu huyo Malima naye si alikua rafiki wa Rais aliyeko madarakani. Mohamed Said mtu wa porojo huyu, hawa wazee waongo waongo hawana la kufanya zaidi ya zumna na kujambisha. Upuuzi huu.

Mwinyi alikua swahiba mkuu wa Malima alfanya nini kumfanya abadirishe system ya Nyerere ya uonevu? Waziri wa Elimu yeye, waziri Mdogo Mayagila wote waislam kiliwashinda nini? Na baraza la mawaziri lilivunjwa pamoja na yeye.

Mmoja heart attack mwingine suicide, vifo visivyokua na utata lakini Mohamed anataka kusema waliuawa hao.
 
Mambo kama haya ungeandika kabla ya Nyerere au wengine kufa ungenishawishi sana. Mnachagua muda wa kuandika.

Unasema hali za waislamu waliogombania uhuru zilikua taabani, je wakristu hali zao zilikua nzuri? Sijaona sehemu inayoishi waislamu masikini na wakristu wenye afadhali, wote taabani, si magomeni, ilala, tandika kote huko.

Uongozi na udini vitu viwili tofauti.
Interested,
Nimeandika kitabu kizima na kikachapwa London mwaka wa 1998.

Nilichoeleza alichoeleza Prof. Malima kiko wazi kuwa Wizara ya Elimu ilikuwa inawahujumu Waislamu.
 
Huyu ndio alikuwa mwasisi wa makundi ya ugaidi na udini. Akabanwa pale CCM akakimbilia kuanzisha kikundi rasmi cha ugaidi NAREA (NRA)
Tajiri ...
Unao ushahidi kuwa Prof. Malima aliasisi makundi ya ugaidi?

Dodoma Prof. Malima hakubanwa na yeyote kwani alikuwa na ushahidi wote kuhusu yale yaliyokuwa yakifanywa Wizara ya Elimu.

Nyerere alizuia Prof. Malima asihojiwe kuhusu dhulma hiyo.

NRA haikuanzishwa na Prof. Malima kilikuwa chama cha siasa chenye usajili kilichoanzishwa na Abubakar Olotu.
 
Halafu huyo Malima naye si alikua rafiki wa Rais aliyeko madarakani. Mohamed Said mtu wa porojo huyu, hawa wazee waongo waongo hawana la kufanya zaidi ya zumna na kujambisha. Upuuzi huu.

Mwinyi alikua swahiba mkuu wa Malima alfanya nini kumfanya abadirishe system ya Nyerere ya uonevu? Waziri wa Elimu yeye, waziri Mdogo Mayagila wote waislam kiliwashinda nini? Na baraza la mawaziri lilivunjwa pamoja na yeye.

Mmoja heart attack mwingine suicide, vifo visivyokua na utata lakini Mohamed anataka kusema waliuawa hao.
Interested...
Unatukana.

Kawaida yangu mtu anapokasirika hadi kutoa matusi mie hukaa kimya.
 
Kwa kuchambua kwa uchache mada za mzee Mohammed Said kuna makundi makuu mawili anayoyalenga na kwa makusudi anajua anachowaambia hakiko hivyo ila anasukumwa zaidi na chuki zake za kidini,mbaya zaidi ukweli kwamba uhuru wa nchi hii ulipatikana baada ya kuonekana kijana msomi,smart na very intelligent Mwl Julius Kambarage Nyerere anayezungumza hoja zinazoeleweka tena kwa umri wake mdogo unamchoma nafsi yake inateketea kwamba kwanini kijana huyu asingekuwa muislamu mwenzake?

Kundi la kwanza,ikumbukwe kwa umri wake huyu ni mmoja ktk wengi (1000/1) aliyebahatika kusogea kielimu ni kusema wengi wa umri wake hawakwenda shule kabisa ni wale lolote wanaloambiwa alimradi lina mrengo wa kidini wanaliamini as long as na wao wana elimu ya madrassa ya kidini,na siyo kwamba wakati wanakua hawakuwa wakiujua ukweli huu anaoupindisha leo Mohamed walikuwa wanaujua but ukweli ule haukukaziwa ktk bongo zao kama unavyokaziwa uwongo wake leo na anawa-win kwa sababu anauelezea kwa elimu ya darasani (ambayo wao hawana) + sympathy ya kidini.

Kundi la pili ni vijana wa Kiislamu ambao hawakuwepo wakati huo ila leo wana elimu na ufahamu wa kuchambua mambo,hawa anawa-win kwa kuwahadaa kwamba hapo nyuma wazee wao hawakupata elimu kwa sababu walikuwa wanafelishwa na mfumo Kristu but hawaambii jema la Mwl Nyerere la kutaifisha shule za kikristo ili jamii zote waislam wakiwepo wapate elimu na kadiri anavyorudia rudia kuwaambia ndivyo wanavyozidi kuamini wachache wenye ufahamu wa ziada hujenga maswali ambayo wakiiuliza jamii yao iliyouzungukwa na wazee waliokwisha msikiliza huyu mzee wanazidi kuwapoteza.
 
Halafu huyo Malima naye si alikua rafiki wa Rais aliyeko madarakani. Mohamed Said mtu wa porojo huyu, hawa wazee waongo waongo hawana la kufanya zaidi ya zumna na kujambisha. Upuuzi huu.

Mwinyi alikua swahiba mkuu wa Malima alfanya nini kumfanya abadirishe system ya Nyerere ya uonevu? Waziri wa Elimu yeye, waziri Mdogo Mayagila wote waislam kiliwashinda nini? Na baraza la mawaziri lilivunjwa pamoja na yeye.

Mmoja heart attack mwingine suicide, vifo visivyokua na utata lakini Mohamed anataka kusema waliuawa h

Kwa hiyo unataka kusema nchi hii ni marufuku waislam kuwa mawaziri wa wizara ya elimu?
Tajiri ...
Swali hili wa kujibu si mie.

Lakini Waziri wa Elimu wa kwanza Muislamu alikuwa Prof. Malima na aliwekwa na Rais Ali Hassan Mwinyi.
 
Walishindwa nini kuondoa mfumo unaowakandamiza waislam?
Tajiri...
Kanisa Katoliki lina nguvu kubwa sana.

Tatizo hili halikupewa nafasi ya kujadiliwa katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma.

Mwalimu Nyerere alizuia agenda hii isijadiliwe

Uamuzi ukawa kumtoa Prof. Malima katika Wizara ya Elimu.

Nimeeleza hili katika video.
 
Comrade Mohamed said huwa unaandika ukweli mchungu!

Bahati mbaya ni kwamba mnaowadhania wakristo sio wakristo bali ni genge la majambazi na wamwaga damu!

Issa bin mariam au yesu hakua na tabia kama hizo za hao mnao waits wakristo wa kileo,yesu alikua mnyenyekevu ndio maana anaitwa mwanakondoo hawa wa leo wanna hila za shetani halafu wanajiita wakristo wanatumia baya jina a ukristo kushibisha matumbo Yao makubwa na kuacha Haki!!

Yesu alikua mtu wa haki kuliko watumishi wa makanisa ya kileo yanahowaza faida ya matoleo na wizi plus hila ili kukuza kipato chao kupitia wizi wa Mali na ujambazi wa kiroho

Na walaaaniwe coz wanaudhalilisha ukristo na yesu mwenyewe coz hafanani na wao wala desturi zake wanamtumia kuwaibia watu na kiwapoka hatma zao kwa hila nyingi!!
 
Tajiri...
Kanisa Katoliki lina nguvu kubwa sana.

Tatizo hili halikupewa nafasi ya kujadiliwa katika mkutano wa Halmashauri Kuu ya CCM Dodoma.

Mwalimu Nyerere alizuia agenda hii isijadiliwe

Uamuzi ukawa kumtoa Prof. Malima katika Wizara ya Elimu.

Nimeeleza hili katika video.
Kanisa Katoliki lina chuki gani na Waislam? Je kwanini hawataki wapate elimu nzuri?
Kwanini Waislam wana chuo kikuu kimoja tu nchi nzima?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom