tamko hili ni kama limetolewa na zomba, mnyika umeanza kupokea rushwa? list ya watu wa kuwajibika ndio imeishia kwa dagaa tu?
Culprit Number one is Emanuel Nchimbi, toka ameingia wizara hii maasi ya polisi kwa raia yamezidi mara dufu. Inaonekana amepewa wizara kwa kazi maalum ya ukada wa CCM na kujikuta anawalazimisha polisi kutenda kazi kinyume na maadili yao.