BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,050
- 10,495
Hii dunia ina mengi ya kustaajabisha.
Kama ni mtazamaji wa sns hususani kipindi cha the fix kinachoongozwa na Kamureen Irene Kamugisha basi utakuwa unajua jinsi gani huyu dada alivyokuwa akimtaja mumewe mara kwa mara kuonyesha kumpenda na kutoa appreciation kwa mumewe kwa mujibu wake alikuwa akimsupport kwenye utangazaji wake.
Kifo cha mumewe kimetokea vacation wakati akiogelea aisee hivi mtu hujui kuogelea unapataje ujasiri wa kuogelea kwenye kina kirefu kweli maisha ni fumbo no one knows tomorrow wakat wengine tunafurahi kuingia 2024 wenzetu wapo kwenye majonzi ya kupoteza wapendwa wao.
Kama ni mtazamaji wa sns hususani kipindi cha the fix kinachoongozwa na Kamureen Irene Kamugisha basi utakuwa unajua jinsi gani huyu dada alivyokuwa akimtaja mumewe mara kwa mara kuonyesha kumpenda na kutoa appreciation kwa mumewe kwa mujibu wake alikuwa akimsupport kwenye utangazaji wake.
Kifo cha mumewe kimetokea vacation wakati akiogelea aisee hivi mtu hujui kuogelea unapataje ujasiri wa kuogelea kwenye kina kirefu kweli maisha ni fumbo no one knows tomorrow wakat wengine tunafurahi kuingia 2024 wenzetu wapo kwenye majonzi ya kupoteza wapendwa wao.