Felixonfellix
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 1,672
- 182
Haya yote yana mwisho
we acha tu wajipendekeze
ni kawaida ya wanafiki
we acha tu wajipendekeze
ni kawaida ya wanafiki
............ni ulimbukeni:
Rangi ndugu yangu! rangi nyeupe sijui ina nn kwetu waafrika!
Kule kwenye migodi ya North Mara wanakufa watu kila iitwapo leo,sijamuona hata mwenyekiti wa mtaa kuhudhuria kwenye misiba hii,tunaposema kuwa kuna tatizo uwa hatuelewi........
+njaa+umimi+uloho=chamoto tutakiona
kwikwikwi
Umaskini wetu kama nchi unatuponza sana ni lazima tuwapigie magoti hawa wakubwa,kumbuka ya kuwa mwalimu Nyerere aliwahi kusema ya kwamba adui mkubwa wa binadamu mmojawapo ni umaskini'.Tatizo moja kubwa la umaskini si tu unakosa kujiamini hata kupanga unachotaka ni tatizo
mazishi yamehudhuriwa na waziri wa mambo ya nje benad membe, suleiman kova, salma kikwete NI MAZISHI YA MCHINA ALIYEFARIKI KWA KUPIGWA ROBA lkn watanzania wanatandikwa risasi, wanauwawa kinyama tn na hao wachina, wanakufa kwa kuvamiwa na majambazi sijaona waziri akihuzuria mazishi lbd wafe Watanzania zaid ya 1000, KWA HALI HII SIDHANI!