Kifo cha Lowassa: Rekodi ziendelee kuwekwa sawa vingenevyo historia itapotea

  • Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
  • Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
  • Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
  • Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
  • Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
  • Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
  • Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
View attachment 2908714
Ni kweli Edward Ngoyai Lowassa ni Mmeru na sio mmasai. Tuliyomfahamu tungali watoto tunalijua hilo. Sema alizaliwa masaini na alikijua kimasai angali mtoto kama ilivyokua kwa familia yake yote iliyokua ya kifugaji. Pia wazee wa kimasai walimpitisha kimila kua kabila lao na pia kumsimika uongozi wa kijadi kama Laigwanan. Halafu jambo wasiolijua wengi wameru japo kilugha wanakaribiana na wamachame wao wana mila sawa na wamasai. Sio rahisi ukubalike kama mmasai hujapita jando kama yao na kupata rika ya kimasai.
 
  • Lowassa hakuwa Mmasai bali ni Mmeru aliyezaliwa umasaini;
  • Hakuna mtu aliyefika matanga ya Lowassa na kupata nafasi ya kuongea ambaye hajawahi kumsema Lowassa vibaya;
  • Lowassa na Kikwete hawajawahi kuwa marafiki bali ni watu waliofanya mambo mengi pamoja;
  • Mahusiano ya Lowassa na Kikwete ni ya muda mrefu sana kuliko muda aliokaa CHADEMA na yalihusu maisha zaidi kuliko ugombea urais
  • Historia ya Lowassa haiwezi kukamilika bila kumtaja Kikwete pia
  • Kama watu wangemskiliza Mbowe, Lowassa angekufa kwa kuchomwa moto
  • Kama watu wangeskiliza Lema watu wangemzomea Lowassa badala ya kumlilia
View attachment 2908714
Urafiki haupimwi kwa muda tu. Unaweza mpata rafiki mwishoni mwa maisha yako ukatamani, ungemjua toka zamani.

Ukizungumzia kugombea urais wa JMT, Lowassa hakugombea kupitia kwetu CCM bali kupitia CHADEMA, na hicho pia huwezi futa kwa sababu ni mojawapo ya heshima na achievements kubwa alizopata katika maisha yake.
 
Urafiki haupimwi kwa muda tu. Unaweza mpata rafiki mwishoni mwa maisha yako ukatamani, ungemjua toka zamani.

Ukizungumzia kugombea urais wa JMT, Lowassa hakugombea kupitia kwetu CCM bali kupitia CHADEMA, na hicho pia huwezi futa kwa sababu ni mojawapo ya heshima na achievements kubwa alizopata katika maisha yake.
Nakubaliana na wewe; sasa nini kiigizwe na kipi kiachwe- hiyo ndiyo hoja yangu
 
Kabila la mtu linapimwaje? Mimi nikiamua kuwa mmakonde, kuna shida? Je, kuna wameru wengine waliojiconvert kuwa Wamaasai?
Mkuu huwezi kubadili kabila-Obama alikuwa mjaluo na akabaki mjaluo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom