Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 16,095
- 24,323
Mchungaji Jesse Jackson amefariki,,
Amezikwa jimboni kwake Chicago..Jesse Jackson ni mtu maarufu….ni mpigania haki za binadamu na ubaguzi kwa watu ambao ni less privileged na sio watu weusi tu.
Alikuwa rafiki wa karibu wa Martini Luther King Jr.
Kwenye mazishi yake walikuwepo watu maarufu toka ndani na nje ya Marekani.
Nilimwona Comrade Cyril Matamela Ramaphosa,
Felic Tchiseked Chilombo na wengine wengi.
Ramaphosa alikataa kuongea kwa dkk mbili akidai uhusiano kati ya South Africa na Jesse Jackson sio wa kuongelea kwa dkk mbili ukizingatia na umbali km 14,000 au maili 9000 aliosafiri.
Walikuwepo marais wa zamani wa Democrats ambao ni Billy Clinton,Barack Obama na Joe Biden.
Cha ajabu Donald Trump ambaye ni sitting President hakualikwa wala kuonekana..
Hii inatupa picha gani…
Let us Discuss..