Kifo cha dola ya Marekani chawadia rasmi. Iran, Uturuki, Urusi na India zaitisha kikao Ankara kuipiga teke dola ya Marekani

kimsboy

JF-Expert Member
Oct 17, 2016
9,000
17,909
Iran, Uturuki, Russia na India zaitisha kikao Ankara kuipiga teke sarafu ya dola ya Marekani.

Kikao cha "Changamoto na Fursa za Biashara kwa Fedha za Taifa" kilifanyika jana Ijumaa mjini Ankara Uturuki na kushirikisha maafisa na wataalamu kutoka nchi za Iran, Uturuki, Russia na India.

Shirika la habari la IRNA limetangaza habari hiyo na kumnukuu Rasul Khonsari, mtaalamu wa kitengo cha fedha cha Benki Kuuu ya Iran akisema katika kikao hicho kwamba fikra ya kutumia fedha za taifa katika biashara za kimataifa ni dharia mpya inayotekelezeka.

Amesema, hatua ya Marekani ya kuziwekea vikwazo vya kiuchumi Iran, Russia na Uturuki na kuzibana kiuchumi nchi za China, India na Umoja wa Ulaya imepelekea kupata nguvu fikra ya kutumia fedha nyingine za kigeni katika miamala ya kibiashara ya nchi hizo.

Kwa upande wake, Bi Hatice Karahan, mshauri wa Rais wa Uturuki katika masuala ya kiuchumi amesisitiza kuwa, ubunifu wa kutumia fedha za taifa katika mabadilishano ya kibiashara na kwenye uhusiano wa kiuchumi wa nchi zinazostawi itapelekea kupatikana mazingira mazuri huru na ya kudumu ya kibiashara.

Naye Bi Ila Patnaik, mtaalamu wa masuala ya uchumi kutoka India amesema kwenye kikao hicho kuwa nchi yake iko katika juhudi za kutumia sarafu ya taifa katika kufunga mikataba na nchi za kigeni na kwamba hivi sasa inashirikiana kibiashara na nchi sita kwa kutumia sarafu ya taifa.

Kwa upande wake, Marcel Salikhov, mkurugenzi wa taasisi ya uchumi na nishati ya Russia amesema, kutumia fedha za taifa katika biashara na nchi za kigeni kutapunguza kuyumba thamani ya fedha za taifa na kutaleta utulivu zaidi wa kiuchumi katika nchi hizo.
 
Blockchains' money could be taken as a consideration for example, but a buck will still be rolling, that's just a tiny fraction of the world wide circulation.
 
Tehe tehe teheee...hizo story zilishaanza kusikika tangu nchi za umoja wa ulaya zilipoamua kupiga chini sarafu zao na kuanza kutumia Euro lakuni muamerika yupo na na lidolali lake.
kwa akili zako India aende akakae mezani na Iran? Halafu kila siku mbona linaletwa tishio la kuchonga kinyago kipya? BRICKS iliishia wapi?
 
Wameamua kujikwamua kwenye dollar business ngoja tuone huenda wakaweza ila mbona hakuna nchi ya Africa hapo au huku bado tunahitaji dollar?
 
Iran, Uturuki, Russia na India zaitisha kikao Ankara kuipiga teke sarafu ya dola ya Marekani
Kikao cha "Changamoto na Fursa za Biashara kwa Fedha za Taifa" kilifanyika jana Ijumaa mjini Ankara Uturuki na kushirikisha maafisa na wataalamu kutoka nchi za Iran, Uturuki, Russia na India.
Shirika la habari la IRNA limetangaza habari hiyo na kumnukuu Rasul Khonsari, mtaalamu wa kitengo cha fedha cha Benki Kuuu ya Iran akisema katika kikao hicho kwamba fikra ya kutumia fedha za taifa katika biashara za kimataifa ni dharia mpya inayotekelezeka.
Amesema, hatua ya Marekani ya kuziwekea vikwazo vya kiuchumi Iran, Russia na Uturuki na kuzibana kiuchumi nchi za China, India na Umoja wa Ulaya imepelekea kupata nguvu fikra ya kutumia fedha nyingine za kigeni katika miamala ya kibiashara ya nchi hizo.
Kwa upande wake, Bi Hatice Karahan, mshauri wa Rais wa Uturuki katika masuala ya kiuchumi amesisitiza kuwa, ubunifu wa kutumia fedha za taifa katika mabadilishano ya kibiashara na kwenye uhusiano wa kiuchumi wa nchi zinazostawi itapelekea kupatikana mazingira mazuri huru na ya kudumu ya kibiashara.
Naye Bi Ila Patnaik, mtaalamu wa masuala ya uchumi kutoka India amesema kwenye kikao hicho kuwa nchi yake iko katika juhudi za kutumia sarafu ya taifa katika kufunga mikataba na nchi za kigeni na kwamba hivi sasa inashirikiana kibiashara na nchi sita kwa kutumia sarafu ya taifa.
Kwa upande wake, Marcel Salikhov, mkurugenzi wa taasisi ya uchumi na nishati ya Russia amesema, kutumia fedha za taifa katika biashara na nchi za kigeni kutapunguza kuyumba thamani ya fedha za taifa na kutaleta utulivu zaidi wa kiuchumi katika nchi hizo.
Huo ndo uwezo wako kufikiri,hizo nchi ulizotaja kwa US ni sawa na mkate kwa Chao.
 
Tehe tehe teheee...hizo story zilishaanza kusikika tangu nchi za umoja wa ulaya zilipoamua kupiga chini sarafu zao na kuanza kutumia Euro lakuni muamerika yupo na na lidolali lake.
kwa akili zako India aende akakae mezani na Iran? Halafu kila siku mbona linaletwa tishio la kuchonga kinyago kipya? BRICKS iliishia wapi?
BRICKS NDIO INAITESA SANA BRAZIL SASAHIVI. INASEMEKANA VURUGU ZINAZOENDELEA HUKO ZINA MKONO WA USA.
 
Tehe tehe teheee...hizo story zilishaanza kusikika tangu nchi za umoja wa ulaya zilipoamua kupiga chini sarafu zao na kuanza kutumia Euro lakuni muamerika yupo na na lidolali lake.
kwa akili zako India aende akakae mezani na Iran? Halafu kila siku mbona linaletwa tishio la kuchonga kinyago kipya? BRICKS iliishia wapi?
Mambo mazito kama hayo huchukua muda..siyo kama kilimo cha mahindi ya kuchoma
 
Back
Top Bottom