Mgoyangi Senior Member Feb 6, 2008 184 9 Mar 11, 2011 #1 Kuna tetesi kuwa Mkuu wa wilaya mmoja mkoani Mwanza alikuwa akitibiwa huko India amefariki dunia dunia , mwenye uhakika tunaomba atumwagie hapa.
Kuna tetesi kuwa Mkuu wa wilaya mmoja mkoani Mwanza alikuwa akitibiwa huko India amefariki dunia dunia , mwenye uhakika tunaomba atumwagie hapa.
N Nimrod Member Nov 5, 2010 26 0 Mar 11, 2011 #2 nipo mwanza, sjapata taarifa kama hizo, nikinasa ntakujuza
O Omumura JF-Expert Member Aug 20, 2009 476 18 Mar 11, 2011 #4 Habari hizi ni za kweli, aliyekuwa DC wa Ilemela Mwanza Lt Col. Serenge Mrengo amefariki akiwa kwenye matibabu huko India.
Habari hizi ni za kweli, aliyekuwa DC wa Ilemela Mwanza Lt Col. Serenge Mrengo amefariki akiwa kwenye matibabu huko India.
Mwanamageuko JF-Expert Member Oct 31, 2010 8,602 5,569 Mar 11, 2011 #7 naogopa sana kusema chochote hapo nisije nikawa kama waliowahi kusema....
Balantanda JF-Expert Member Jul 13, 2008 12,476 4,752 Mar 11, 2011 #8 Confirmed: Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya RFA ya saa 10 ni kwamba Lt.Col Mrengo DC wa Ilemela amefariki akiwa India kwa matibabu Sijui ni coincidence ama maana mwaka jana DC wa Nyamagana C.Rugarabamu naye alifariki akiwa huko huko India kwa matibabu.... R.I.P DC Mrengo
Confirmed: Kwa mujibu wa taarifa ya habari ya RFA ya saa 10 ni kwamba Lt.Col Mrengo DC wa Ilemela amefariki akiwa India kwa matibabu Sijui ni coincidence ama maana mwaka jana DC wa Nyamagana C.Rugarabamu naye alifariki akiwa huko huko India kwa matibabu.... R.I.P DC Mrengo
Tusker Bariiiidi JF-Expert Member Jul 3, 2007 5,520 2,091 Mar 11, 2011 #9 Mungu mbariki Mchungaji wetu wa Loliondo... RIP DC...