Kifo cha CCM kimetimia

chadema ni wauwaji, mnatamani kuuwa watu kwa sumu na tindikali ila ccm ndio inawalinda na kuwaokoa
 
chadema ni wauwaji, mnatamani kuuwa watu kwa sumu na tindikali ila ccm ndio inawalinda na kuwaokoa

Mkuu acha kutoa povu dhibitisha kauli yako maana Mahakama imefutilia mbali kesi za kupikwa, Acha kufanya kazi ya umbea kuwa mwerevu mkuu au subiri tukuelimishe mkuu.
 
Kidumu Chama Cha Mapinduzi? ''Kimetobokaaaaaaaaaaaaaaaaaa''


 
sishangai kwenye ccm watu wapo wa kila aina wenye njaa wenye kushiba wapo mbona cdm hatuwaonagi watu kama hawa huwa naona wote mmenona kwenye picha kuna nn huko cdm au nyie sio wa tz?
 
sishangai kwenye ccm watu wapo wa kila aina wenye njaa wenye kushiba wapo mbona cdm hatuwaonagi watu kama hawa huwa naona wote mmenona kwenye picha kuna nn huko cdm au nyie sio wa tz?

jIBU MADA NDIO MBINU YENU?
 
Ujumbe wa picha ni mkubwa zaidi wa maneno, mtoa mada nakushukuru sana, mwenye macho haambiwi tazama, imani yangu ni kwamba mwisho wa nyinyiemu umeishafika, tunasubiri kutangaziwa matokeo tu. CHADEMA NDO MUAROBAINI WA HAYA YOTE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…