Kifaa badala ya Sola

Kifaa badala ya Sola

Bull Striker

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2018
Posts
455
Reaction score
1,011
Wakuu nlikuwa nauliza kuwa hakuna kifaa na Battery kitakacho weza kujichaji pindi umeme upo?

Endapo umeme ukakatika basi kile kifaa na battery kiweze kusupply umeme hata kwa zaidi ya siku mbili bila kucharge.

Hii iwe tofauti na mfumo wa Panel za sola.
Nawasilisha kwa msaada zaidi.
 
Wakuu nlikuwa nauliza kuwa hakuna kifaa na Battery kitakacho weza kujichaji pindi umeme upu..??? Endapo umeme ukakatika basi kile kifaa na battery kiweze kusupply umeme hata kwa zaidi ya siku mbili bila kucharge.

Hii iwe tofauti na mfumo wa Panel za sola.
Nawasilisha kwa msaada zaidi.
Hicho kifaa kipo na kinaitwa Rectifier, kinabadilisha AC to DC umeme ambao unaweza chaji batteries, kwahiyo unaweza kuchaji battery bila kuwa na solar panel, lakini madukani waniita charger au kuna inverter zingine huwa ni multipurpose yaani zina weza kufanya kazi kama charger na kama inverter.
 
Kuna Inverter ambazo ni battery charger. Unanunua na betri kubwa za solar au za gari. Ikiwezekana unanunua zaidi ya betri moja.

Kama upo Dar nenda mjini maeneo ya Posta au Kariakoo utapata.
 
Hii kitu niliwahi kuisikia eti invator ina kifaa kama otornator wakatati wa matumizi inachaji battery muda wote
 
Good news ipo inaitwa Tesla power wall ama alfernative yake, inahifadhi Hadi unit 13 kama zinakutosha siku mbili.

images.jpeg-21.jpg

Bad news bei yake ni $11500 uandae kama milioni 30.

Njia ambayo ipo proved kwetu ni Generator hizi za petroli/Diesel, tafuta mjapan Yamaha, Honda etc hata Mtumba brand za karibuni, chini ya 1M unapata, kuna sehemu nimeona Honda mpaka usogee karibu kabisa ndio unasikia kelele, ila ukiwa hatua kadhaa husikii chochote, kama una nyumba ina stoo ama chumba ambacho kimejitenga na Sebule/mahala unapoishi unaweza hata usisikie makelele.
 
Good news ipo inaitwa Tesla power wall ama alfernative yake, inahifadhi Hadi unit 13 kama zinakutosha siku mbili.

View attachment 2387592
Bad news bei yake ni $11500 uandae kama milioni 30.

Njia ambayo ipo proved kwetu ni Generator hizi za petroli/Diesel, tafuta mjapan Yamaha, Honda etc hata Mtumba brand za karibuni, chini ya 1M unapata, kuna sehemu nimeona Honda mpaka usogee karibu kabisa ndio unasikia kelele, ila ukiwa hatua kadhaa husikii chochote, kama una nyumba ina stoo ama chumba ambacho kimejitenga na Sebule/mahala unapoishi unaweza hata usisikie makelele.
Mwenzio anaulizia kifaa kinachotunza umeme (energy) ili umeme ukikatika kiweze kusupply power.

Generator haitunzi nishati. Bali inazalisha nishati. Na mbaya zaidi inaongeza running costs (fuel), kelele, nakadhalika.
 
Good news ipo inaitwa Tesla power wall ama alfernative yake, inahifadhi Hadi unit 13 kama zinakutosha siku mbili.

View attachment 2387592
Bad news bei yake ni $11500 uandae kama milioni 30.

Njia ambayo ipo proved kwetu ni Generator hizi za petroli/Diesel, tafuta mjapan Yamaha, Honda etc hata Mtumba brand za karibuni, chini ya 1M unapata, kuna sehemu nimeona Honda mpaka usogee karibu kabisa ndio unasikia kelele, ila ukiwa hatua kadhaa husikii chochote, kama una nyumba ina stoo ama chumba ambacho kimejitenga na Sebule/mahala unapoishi unaweza hata usisikie makelele.
30m si mchezo.
 
Back
Top Bottom