Mnyuke junior
Member
- Jun 1, 2021
- 19
- 15
Washika mitutu wa kaskazini mwa London (Gunners ) wameanza mazungumzo na beki wao wa kushoto KIERAN TIERNEY juu ya kuongeza mkataba mpya wa kuendelea kukipiga arsenal,ikumbukwe arsenal walimsajili tierney toka celtic mwaka 2019 na ameonesha kiwango kikubwa sana toka aanze kuitumikia miamba hiyo