Kiendacho kwa mganga hakirudi!

Serikali ina uhitaji wa fedha nyinyi mnazichezea? 🀣🀣

Wacha zikabusti miradi
 
Serikali ina uhitaji wa fedha nyinyi mnazichezea? 🀣🀣

Wacha zikabusti miradi
Ndiyo Ukweli Wenyewe
Nasema Uongo Ndugu Zangu
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜˜
Siku Nyingine Watajifunza Matumizi Ya Pesa Ambayo Ni Sahihi.
 
Hakika hakuna kurudishiwa!! Ningependa hata za Mr KUKU serikali izichukue wakajenge miondombinu iwasaidie wananchi.
 
Mwalimu mzuri katika maisha ,ni makosa yako mwenyewe.
So kupitia makoxa nadhani wahanga watakuwa waalimu wazuri kwa wenzao.

#jr
 
Duuh!! Hivyo waugulie tu maumivu tu sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…