mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 94,064 Reaction score 132,512 Dec 18, 2020 #1 Haya wale wazee wa kufatilia pesa za desi,qnet etc habari ndiyo hiyo mwana fa ft Ay Ova Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Haya wale wazee wa kufatilia pesa za desi,qnet etc habari ndiyo hiyo mwana fa ft Ay Ova Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Samia atosha tukutane2030 JF-Expert Member Joined Apr 7, 2020 Posts 17,213 Reaction score 48,766 Dec 18, 2020 #2 Hawa walioliwa na Qnet wasituvuruge. Walishindwaje kufanya tathmini kabla ya kukubali kunyolewa?
Pabloz JF-Expert Member Joined Oct 24, 2020 Posts 1,818 Reaction score 9,334 Dec 18, 2020 #3 Kama hazirudi, watuambie zinaenda wapi?
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 94,064 Reaction score 132,512 Dec 18, 2020 Thread starter #4 Pabloz said: Kama hazirudi, watuambie zinaenda wapi? Click to expand... Hapo we jiongeze tu ila usishiriki kwenye biashara hizo za upatu maumivu yakijatokea mailalamike Ova Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Pabloz said: Kama hazirudi, watuambie zinaenda wapi? Click to expand... Hapo we jiongeze tu ila usishiriki kwenye biashara hizo za upatu maumivu yakijatokea mailalamike Ova Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
East Wind JF-Expert Member Joined Jun 17, 2020 Posts 2,783 Reaction score 6,067 Dec 18, 2020 #5 Pabloz said: Kama hazirudi, watuambie zinaenda wapi? Click to expand... Zinaenda hazina kwa ajiri ya maendeleo.. #maendeleo hayana ccm wala cdm# #tokomeza #umaskini
Pabloz said: Kama hazirudi, watuambie zinaenda wapi? Click to expand... Zinaenda hazina kwa ajiri ya maendeleo.. #maendeleo hayana ccm wala cdm# #tokomeza #umaskini
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 94,064 Reaction score 132,512 Dec 18, 2020 Thread starter #6 Kuhani Noah said: Zinaenda hazina kwa ajiri ya maendeleo.. #maendeleo hayana ccm wala cdm# #tokomeza #umaskini Click to expand... Vp uko mitaa yako ile Ah ss tuishi tuu maana tumekuwa wazee wa nutrooo Ova Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
Kuhani Noah said: Zinaenda hazina kwa ajiri ya maendeleo.. #maendeleo hayana ccm wala cdm# #tokomeza #umaskini Click to expand... Vp uko mitaa yako ile Ah ss tuishi tuu maana tumekuwa wazee wa nutrooo Ova Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
N Nikilewa mniache JF-Expert Member Joined Aug 8, 2015 Posts 19,320 Reaction score 52,017 Dec 18, 2020 #7 Serikali ina uhitaji wa fedha nyinyi mnazichezea? π€£π€£ Wacha zikabusti miradi
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,191 Reaction score 69,712 Dec 18, 2020 #9 Kijana wa jana said: Serikali ina uhitaji wa fedha nyinyi mnazichezea? π€£π€£ Wacha zikabusti miradi Click to expand... Ndiyo Ukweli Wenyewe Nasema Uongo Ndugu Zangu ππππ€£πππ Siku Nyingine Watajifunza Matumizi Ya Pesa Ambayo Ni Sahihi.
Kijana wa jana said: Serikali ina uhitaji wa fedha nyinyi mnazichezea? π€£π€£ Wacha zikabusti miradi Click to expand... Ndiyo Ukweli Wenyewe Nasema Uongo Ndugu Zangu ππππ€£πππ Siku Nyingine Watajifunza Matumizi Ya Pesa Ambayo Ni Sahihi.
King Kong III JF-Expert Member Joined Oct 15, 2010 Posts 60,418 Reaction score 88,746 Dec 18, 2020 #10 Hakika hakuna kurudishiwa!! Ningependa hata za Mr KUKU serikali izichukue wakajenge miondombinu iwasaidie wananchi.
Hakika hakuna kurudishiwa!! Ningependa hata za Mr KUKU serikali izichukue wakajenge miondombinu iwasaidie wananchi.
Smart911 Platinum Member Joined Jan 3, 2014 Posts 167,201 Reaction score 185,484 Dec 18, 2020 #11 Hatari sana... Ndiyo washatapeliwa na serikali... Cc: mahondaw
East Wind JF-Expert Member Joined Jun 17, 2020 Posts 2,783 Reaction score 6,067 Dec 19, 2020 #12 mrangi said: Vp uko mitaa yako ile Ah ss tuishi tuu maana tumekuwa wazee wa nutrooo Ova Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app Click to expand... Jana ni burudani tu na leo ni raha tu πππ.. tumeshazoea hali
mrangi said: Vp uko mitaa yako ile Ah ss tuishi tuu maana tumekuwa wazee wa nutrooo Ova Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app Click to expand... Jana ni burudani tu na leo ni raha tu πππ.. tumeshazoea hali
Kichwa Kichafu JF-Expert Member Joined Apr 13, 2017 Posts 44,985 Reaction score 189,557 Dec 19, 2020 #13 Tapeli katapeliwa!
cyrustheemperor JF-Expert Member Joined Mar 13, 2015 Posts 297 Reaction score 358 Dec 19, 2020 #14 What do you mean by that?
Behaviourist JF-Expert Member Joined Apr 8, 2016 Posts 39,924 Reaction score 95,729 Dec 19, 2020 #15 Serekali ya kitapeli haiwezi kuwa na baraka za Mungu!
Magema Jr JF-Expert Member Joined Apr 22, 2020 Posts 1,307 Reaction score 1,215 Dec 19, 2020 #16 Mwalimu mzuri katika maisha ,ni makosa yako mwenyewe. So kupitia makoxa nadhani wahanga watakuwa waalimu wazuri kwa wenzao. #jr
Mwalimu mzuri katika maisha ,ni makosa yako mwenyewe. So kupitia makoxa nadhani wahanga watakuwa waalimu wazuri kwa wenzao. #jr
Shadeeya JF-Expert Member Joined Mar 12, 2014 Posts 51,133 Reaction score 122,589 Dec 19, 2020 #17 Duuh!! Hivyo waugulie tu maumivu tu sasa.
H higherhigh Member Joined Jun 28, 2018 Posts 35 Reaction score 26 Dec 20, 2020 #18 Pabloz said: Kama hazirudi, watuambie zinaenda wapi? Click to expand... Wanachukua Wanaweka Waah....
blogger JF-Expert Member Joined Mar 13, 2012 Posts 13,416 Reaction score 16,789 Dec 20, 2020 #19 Too bad
mrangi JF-Expert Member Joined Feb 19, 2014 Posts 94,064 Reaction score 132,512 Dec 20, 2020 Thread starter #20 King Kong III said: Hakika hakuna kurudishiwa!! Ningependa hata za Mr KUKU serikali izichukue wakajenge miondombinu iwasaidie wananchi. Click to expand... Kweli kabisa Ova
King Kong III said: Hakika hakuna kurudishiwa!! Ningependa hata za Mr KUKU serikali izichukue wakajenge miondombinu iwasaidie wananchi. Click to expand... Kweli kabisa Ova