AIBU...AIBU.....AIBU.....Watakoma Mwaka Huu. Mwalimu Wangu alipata Kuniiambia ya Kwamba Kupata KITAMBI ni Kitu Rahisi Sana, Ila Ugumu Unakuja Kwenye Kukimaintain na Kuendelea Kukilea Kisiporomoke.
Kinachowasumbua Hao ni hili la Kutaka Kumaintain MATUMBO yao Vinginevyo Wangekuwa Wameshakata tamaa. Haiingii akilini Kwa watu Wazima Kuhutubia Uwanja Mtupu na Kwingineko Kufanya Usanii wa Kukamata MAFISI ili watu waje Kushangaa ndo Mtoe Sera zenu Mfilisi.