Kisusi Mohammed
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 563
- 468
Habari za majukumu wakuu, mi nimekuwa na tatizo la kidonda kilichosababishwa na ajali ya pkpk tokea mwezi wa 11 mwaka 2009, nimeshatumia tiba za kila aina mpaka skin grafting nilishafanyiwa lkn cjapona! Naombeni msaada wa dawa za kutumia ili kidonda kipone maana kimekuwepo kwa miaka 2 sasa! Ntashukuru kwa msaada wenu!