Kidonda kwenye kichwa cha uume

Kidonda kwenye kichwa cha uume

Mkuu pole kwa maswahibu.

Dalili za kuwa na kidonda tena kwenye uume, kisichouma, ni moja dalili ya STD Nikiwa na maana ya syphilis ...

Kafanye RPR then majibu yasiporidhisha onana na wataalamu wa Urethrology
 
Mkuu shultan umenipa ujasiri hii dawa nilinunua mchana kwa kugoogle tu naona na ww umenipa uhakika zaidi?
 
hii mashine sio kibamia jaman ni majanga yaliyonikuta mpaka pumbu zimenywea na amini nikijaliwa nitarudi mzigoni kuchakata papuchi kwa umakiini mkubwa.
 
Estyzo mkuu kama hutojali naomba niunganishe case yangu hapa zinaelekeana labda naweza pata msaada.
 
Nenda hospitali kubwa mkuu zenye wataalam achana na dispensary za mtaa kama weshindwa kukusaidia. Usinunue tu dawa shop na kunywa lakini pia ukipona anzisha undugu wa kudumu na condom na uache kwenda chumvini.
 
Back
Top Bottom