Kidole

mkonowapaka

JF-Expert Member
Feb 19, 2010
1,493
767
nina kidole cha mkono wa kushoto kimevimba na kinauma sana...nakumbuka sijakigonga sehem yeyote..inawezakua ni nini?au ni bacterial infection?naomba mchango wenu madokta nitumie dawa gani
 
Nenda hospuitali haraka , kuna uwezekano ulinynyanyua kitu kizito mishipa ya mgongo ikawa imeumia hivyo hutasikia mgongoni bali sehemu ya kidole. nenda wakucheki spinal cord
 
Back
Top Bottom