Kidnapping Chain

Kidnapping Chain

Masaliti ya nchi yashughulikiwe ipasavyo.

Hayat Rais John Pombe Magufuli aliweza kufanya hivyo.

Magulification must go on.

Aluta Continua
 
Haya magenge unadai yalitenda hayo.. Hivi hamkurekodi hata tukio moja yaani hata mawasiliano yao ya mipango?

Watu wengine tuonyeshe proof la sivyo ni stori tu mnajitungia.

Ila nawe aiseee unamkumbuka sana sanaaaaaa.. Hadi umemfungulia uzi..

..Mdude ameandika mpaka kitabu kuhusu alivyotekwa, alivyoteswa, na amewataja wahusika.
 
Haya magenge unadai yalitenda hayo.. Hivi hamkurekodi hata tukio moja yaani hata mawasiliano yao ya mipango?

Watu wengine tuonyeshe proof la sivyo ni stori tu mnajitungia.

Ila nawe aiseee unamkumbuka sana sanaaaaaa.. Hadi umemfungulia uzi..
Huo ndio ukweli, upewe picha kwani hiyo ni mechi ya simba na yanga useme hao wahalifu wanasubiri wapigwe picha?
 
Haya magenge unadai yalitenda hayo.. Hivi hamkurekodi hata tukio moja yaani hata mawasiliano yao ya mipango?

Watu wengine tuonyeshe proof la sivyo ni stori tu mnajitungia.

Ila nawe aiseee unamkumbuka sana sanaaaaaa.. Hadi umemfungulia uzi..

Ya right. Akina Mzee KIBAO kufa ni story kwako?
 
Mdude ni kama solomoni mahlangu haogopi lolote na ni mkweli sana watu wa hivi ni wachache sana duniani. Combinenga ya LISU na mdude ni balaa sana.
Afadhali kufa ukipigania haki kuliko kufa kitandani kwa Ukimwi!! Ndio sababu wanaojitambua wanajivisha mabomu na kujilipua!
 
In order to end this situation, we must first remove the current government, then bring all four gang groups to justice quickly, even if they escape abroad, we will bring them back.
The sole effective means of addressing these deep-rooted societal dilemmas is by harnessing the formidable influence of mass mobilization. Absent such a concerted effort, surmounting these entrenched challenges becomes an arduous, if not insurmountable, endeavor.
 
Wavaa Miwani usiku kucha hawalali kazi kupokea simu toka kwa RPC oysterbay.
Mchana Kama watu vile.

Mnyamazisha watu yupo daraja la Kwanza kutoka Premier Man anaekontroo Mfumo wa maagizo.
 
Mdude nyagali😭😭 to every action there is N equal and opposite reaction
 
During the JPM regime, there was only one kidnapping gang, led by JPM's home boys Albert Bashite and former Nyaulingo RSO Mby.. The gang involved security personnel from the Lakes region and no more than three soldiers. I knew because this gang kidnapped me.

During the SSH regime, there are three kidnapping gangs.

1. These task forces are under the coordination of the RPCs and RCOs & ZCOs. One of the victims in this force is Deudenith Soka, Sativa, Deoniz Kipanya, Secretary of Bavicha Mwanza etc.

2. Security department task force. This force is under the coordination of the director of Security and Mapete. The victims in this force are Ally Kibao, Maria Sarungi-Tsehai and others.

3. Green guard forces in the districts and regions. These forces are under the coordination of some ruling party leaders with the support of MPs or ministers from the relevant district or region. One of their incidents is the killing of a Chadema candidate in the local government elections in Tunduma.

In order to end this situation, we must first remove the current government, then bring all four gang groups to justice quickly, even if they escape abroad, we will bring them back.

Mdude Nyagali 7 x 70
Maskini mdude, tutakukumbuka daima. Kusema kwako ukweli bila kuogopa na kupigania mabadiliko ndo kumekuletea madhira haya
 
During the JPM regime, there was only one kidnapping gang, led by JPM's home boys Albert Bashite and former Nyaulingo RSO Mby.. The gang involved security personnel from the Lakes region and no more than three soldiers. I knew because this gang kidnapped me.

During the SSH regime, there are three kidnapping gangs.

1. These task forces are under the coordination of the RPCs and RCOs & ZCOs. One of the victims in this force is Deudenith Soka, Sativa, Deoniz Kipanya, Secretary of Bavicha Mwanza etc.

2. Security department task force. This force is under the coordination of the director of Security and Mapete. The victims in this force are Ally Kibao, Maria Sarungi-Tsehai and others.

3. Green guard forces in the districts and regions. These forces are under the coordination of some ruling party leaders with the support of MPs or ministers from the relevant district or region. One of their incidents is the killing of a Chadema candidate in the local government elections in Tunduma.

In order to end this situation, we must first remove the current government, then bring all four gang groups to justice quickly, even if they escape abroad, we will bring them back.

Mdude Nyagali 7 x 70
I think you're now learning a lot about it!
 
During the JPM regime, there was only one kidnapping gang, led by JPM's home boys Albert Bashite and former Nyaulingo RSO Mby.. The gang involved security personnel from the Lakes region and no more than three soldiers. I knew because this gang kidnapped me.

During the SSH regime, there are three kidnapping gangs.

1. These task forces are under the coordination of the RPCs and RCOs & ZCOs. One of the victims in this force is Deudenith Soka, Sativa, Deoniz Kipanya, Secretary of Bavicha Mwanza etc.

2. Security department task force. This force is under the coordination of the director of Security and Mapete. The victims in this force are Ally Kibao, Maria Sarungi-Tsehai and others.

3. Green guard forces in the districts and regions. These forces are under the coordination of some ruling party leaders with the support of MPs or ministers from the relevant district or region. One of their incidents is the killing of a Chadema candidate in the local government elections in Tunduma.

In order to end this situation, we must first remove the current government, then bring all four gang groups to justice quickly, even if they escape abroad, we will bring them back.

Mdude Nyagali 7 x 70
Mwanangu haki yako lazima ipatikane, haya mashetani hayawezi kuchagua nani aishi nani isiishe alafu mimi nikae ndani ili kulinda AMANI, AMANI hipi? Uchawa?
 
Back
Top Bottom