Mayo clinic
Member
- Sep 1, 2022
- 24
- 23
Naombeni msaada wataalam.Ninapata maumivu ya kichwa na mabega kuanzia jioni ya saa kumi.sina homa ingawa naishi na kisukari kwa muda mrefu na kipo well controlled.Nimepima malaria sina,uwingi wa damu ni 14g.Yaweza kuwa shida gani?