Kichekesho changu cha mwaka ni kile cha mchina, mjerumani na mtanzania kushindana kwa teknolojia nchini kwao ambapo mchina alizaliwa mtu hana mikono walimwekea ya bandia akawa bingwa wa masumbi (kama sikosei), na mjerumani alizaliwa mtu hana miguu, wakamwekea miguu ya bandia akaja akawa bingwa wa olimpic mara 3 mfululizo kilishonifurahisha ni ilew mtanzania kuwaambia wenzake cha mtoto
Kwao alizaliwa kijana karibu na bagamoyo hana kishwa, wakamwekea nazi na sasa ni rais wa nchi
Hii sitoisahau, nilisheka ilikuwa usiku hadi jirani yangu alikuja kunigongea geti kuna nini huku jirani salama?