Stuxnet
JF-Expert Member
- Feb 12, 2011
- 10,422
- 18,056
Timothy Apiyo (RIP) aliyekuwa Chief Secretary wa State House enzi za J K Nyerere aliwahi kufanya makosa Kama haya ya CAG Kicheere.
Watendaji walileta mapendekezo ya kuboresha mafao ya kustaafu. Lakini yeye akayapiga chini enzi hizo yuko ofsini na ni kijana.
Hatimaye kwenye miaka ya mwishini mwa 2010 hivi kabla hajafariki aliwahi kuilalamikia Serikali kwenye ITV juu ya mafao madogo ambayo yanawafanya wastaafu waishi kwa shida na mateso.
Alisahau kabisa kuwa yeye mwenyewe miaka ya 1980s ndiye aliyekataa mapendekezo ya maboresho
Naye Charles Kicheere amesahau kuwa hana miaka 5 atakuwa mstaafu pia.
Watendaji walileta mapendekezo ya kuboresha mafao ya kustaafu. Lakini yeye akayapiga chini enzi hizo yuko ofsini na ni kijana.
Hatimaye kwenye miaka ya mwishini mwa 2010 hivi kabla hajafariki aliwahi kuilalamikia Serikali kwenye ITV juu ya mafao madogo ambayo yanawafanya wastaafu waishi kwa shida na mateso.
Alisahau kabisa kuwa yeye mwenyewe miaka ya 1980s ndiye aliyekataa mapendekezo ya maboresho
Naye Charles Kicheere amesahau kuwa hana miaka 5 atakuwa mstaafu pia.