Kichaa

shakamohd

Member
Dec 28, 2011
49
6
Kichaa mmoja alikuwa wodini na wazee wake na maongezi yao yalikuwa hivi:- Kichaa: Naikumbuka siku ya harusi ya wazazi wangu yani sitoisahau maisha kwani ilikuwa siku yakufa namtu, Mama siunakumbuka? Mama: ndio mwanangu naikumbuka. Kichaa: aah mama acha uongo unakumbuka nini? Wakati ule wewe ulikuwa bado mdogo! Teh teh teh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…