Kichaa kapiga simu hospitalini

Apr 26, 2016
23
28
Kichaa mmoja kapiga cm hospitalini
KICHAA:halooo samahani eti chumba namba 17 kina mtu
NESI MAPOKEZI:subiri nikaangalie
KICHAA:pouwaaaaaaa
NESI MAPOKEZI:nimekwenda kuangalia hakuna mtu,kwanini umeuliza hvyo…..?
KICHAA:nilitaka kupata uhakika kama kweli nimetoroka au bado nipo
 

Attachments

  • 22.gif
    22.gif
    194.2 KB · Views: 84
Chizi katika ubora wake, chizi lenye akili kubwa alipata wapi akili ya kupiga simu na kukariri namba za hospitali basi chizi huyu anajitambua
 
Kuna machizi fresh

Unaeza kuta mtu yupo vzuri kavaaa fresh kabisa

Ila sasa ongea naye ndo utajua huyu ni zamwamwa.

Kuna mshikaj wangu aliwahi kutongoza chizi kilichotokea hahaha ni shida
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom