Kibwana Shomari ana miaka 21

Kibwana Shomari ana miaka 21

Meja Jenerali Isamuhyo

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2017
Posts
3,117
Reaction score
9,646
Beki hodari wa klabu ya Yanga, Kibwana Shomari ana miaka 21 kwa mujibu wa vyanzo mbalimbali vya habari. Kwa mtindo huu atalitumikia Taifa kwa muda mrefu sana kama ilivyokuwa kwa Nsajigwa. Hakika Kibwana ni hazina kwa Taifa.

3FE4598F-1CB0-45FF-9ACF-F4712DA01FA1.jpeg
 
Pale Simba kunawachezahi bila kuota moto kabla ya kugusa mpira misuli inagoma ndio maana kwenye basi la wachezaji wa Simba gunia la mkaa alikosekani.
Hiyo ndio Sababu ya kule Kwa Madiba waliwasha moto katikati ya uwanja Ili vikongwe waote moto kabla ya kukiwasha.
 
Back
Top Bottom