xtaper
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 3,320
- 4,696
Hahah st marysSio lazima nichangie content ila shida ipo hapo kwenye lugha uliposema "alikucheat" kwamba amwpata bwana wa kumuoa kimsingi mtu ambae umeachana nae hawezi kukucheat bali anakudanganya i.e" Lie" maana cheating inatumika kwa mtu ambae mna uhusiano nae..ila sababu hii lugha ilikuja na ndege na ikaondoka na ndege upo sahihi kwa kiasi fulani...
Sent using Uncesored Device