Asnam
JF-Expert Member
- Jan 18, 2012
- 4,256
- 2,949
kutokana na tabia yake ya kuparamia mali za watu kwa muda mrefu hatimaye za mwizi arobaini,mwenyekiti wetu Baba v yamemfika ya kumfika kaja kuparamia ukuta wangu kwa kasi ya ajabu akiwa amevalia kaunda suti yake bila aibu.......akijilizaliza eti ananizimikia...........nikampa warning lakini akajifedhehesha kuja na viua vyake kama mnavyomuona kwenye picha namba moja na bado mbinu zake hazijabeba mimba,nampa pole sana.
Cha ajabu wakati moyo wa mzee huyu umenidondokea mie hata mshipa wa k hautikisiki na kumtupilia mbali............kumbe mambo ni vice versa, nilichezea cha mbavu kutoka kwa laaziz wangu niliyekuwa najipendekeza mara na vijiflower...mara na vikeki vya bathidei duh mara mia hiyo pesa ningemnunulia mama yangu kitenge cha lakhani avae siku mbili tatu loh, ila Mola hamtupi mja wake kama mnanvyoniona ktk picha no.2 napewa macare ya kufa shetani na honey wangu(anonymous) mpya plz Platozoom na Baba V sitaki uturutumbi wenu ktk penzi langu akichanwa mtu viwembe mi thimo.:A S kiss::A S kiss:
nawatakieni maisha marefu yenye kheri na baraka tele, Asnam loves you all......
It`s funny how hello always ends with a goodbye,
it`s funny how good memories can start to make you cry.
Cha ajabu wakati moyo wa mzee huyu umenidondokea mie hata mshipa wa k hautikisiki na kumtupilia mbali............kumbe mambo ni vice versa, nilichezea cha mbavu kutoka kwa laaziz wangu niliyekuwa najipendekeza mara na vijiflower...mara na vikeki vya bathidei duh mara mia hiyo pesa ningemnunulia mama yangu kitenge cha lakhani avae siku mbili tatu loh, ila Mola hamtupi mja wake kama mnanvyoniona ktk picha no.2 napewa macare ya kufa shetani na honey wangu(anonymous) mpya plz Platozoom na Baba V sitaki uturutumbi wenu ktk penzi langu akichanwa mtu viwembe mi thimo.:A S kiss::A S kiss:
nawatakieni maisha marefu yenye kheri na baraka tele, Asnam loves you all......
It`s funny how hello always ends with a goodbye,
it`s funny how good memories can start to make you cry.
Last edited by a moderator: