Kibuti ambacho hutakaa ukisahau!

Hahahaha....! Hii nimeipenda, maana kweli mtoto umleavyo ndivyo akuavyo....!
 
mmh kwakweli,.. men wanasema wadada wabaya na gals wanasema wakaka wabaya,.. i mean kwenye kuachwa na kuachana sasa nan mbaya???
 
nashukuru Mungu kikombe hiki kimenipitia mbali
 

Nilishuhudia demu anampiga kibut njemba kwa kumwambia............'huna la kunipa sana sana utanitia shombo tu wewe'.......tafuta wanawake wa saizi yako........'. Demu alimtamkia mshikaji mbel yetu, mwanaume alibidi akae kimya, na sisis wengine yetu yalikuwa ni masikio tu.
 
Dah!hii thrid imenitach kinoma,maana toka nimeanza kuingia ktk mahucano cjawah kuish na msichana yoyote yule tukamalza walau mwaka 1,yaani lolote lile litatokea baada ya cku chache ktk uhucano na kinachofata hap ni kupgwa kibuti tu,smtym ht sbbu ya msing siioni bt huwa nahc lbd nnagundu.Duh,inauma sn yaan km mwez m1 ulopt tyr nshapgw kibut baad ya miez 3 tu ya mahusiano.
 
mimi kuna binti nlimmaind mbaya, yan nlikuwa na mpango nae wa mda mrefu cz niliamini namfahamu. bdae akaja pedekshee wa crdb akamzoa, eti akaniambia yule ni 1st love wake so hawez msahau though amejaribu. aliniweka ktk kpndi kgumu sana yule mwanamke k.make, yan nlichiz. toka cku hyo nikaapa mi nawapitia tu, mpaka nikabatizwa jina mkuyati originale..
 
mm ni kama chura ukinipiga kibuti ni kama umeniongezea safari hhhhaaa nimepigwa vingi sana ndo kama naongezewaga safari vile hahahaa
 
 
Nimeachwa mara nying, ziwez kuziandika hapa. Mkeo wangu niliyenae, alishanipiga kibuti mara 2 kabla ya ndoa.
 
Bora kibuti cha kuwekwa wazi - kibuti cha kimyakimya ni noma! Siwezi saau, ila nitajitahidi kusaau, nililipenda kumbe lenyewe lilikuwa kwenye research.

Ukome kupendapenda kila unaemwona
 
Nimeachwa mara nying, ziwez kuziandika hapa. Mkeo wangu niliyenae, alishanipiga kibuti mara 2 kabla ya ndoa.
nakusifu kwa kung'ang'ania hiyo mutu, sijawah kula kibuti labda kwa sababu ni mgeni wa kudandia bintis hovyo!
 
na kibuti cha online ndo kitakurestisha in peace wallah! utagundua wewe sio kakajambazi ni kakakibaka,lol
bora uumie moyoni,usimtokee
Mi kuna mmoja humu nampenda, kwa jina nahisi vile vile ni mzuri,,lakini naogopa kibuti.
 

Dah.. Pole mkuu.
 
Dah!sijui nianzie wapi!but to cut short the story nimekuwa vibutiproof.
 

kupetpet unajua?
kwenye mechi vipi?
 
Nimewahi kupiga vibuti ila Sijawahi pigwa kibuti, ila some time natamani nione inakuwaje mtu ukipigwa kibuti
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…