Kibonzo; Sasa ni zamu ya mikoa

Sky Eclat

JF-Expert Member
Oct 17, 2012
57,595
215,272
1617691791779.png
 
kuna kiumbe kinaitwa sabaya kule Kilimanjaro/Hai, kuna kiumbe kinaitwa sijui nini kule Iringa kilishawahi kuamkia makaburini kwa sayansi ya kihehe, na kiumbe kinakula bange kule mbeya. Rais anatakiwa awapunguze kabisa mabega kwasababu wamechafua sana sura ya serikali, walikuwa na kiburi kilichozidi kiwango na hadi leo watz wengi wana hasira nao.
 
Lazima wang'oke
Wengine wa kung'olewa, RC Njombe,RC Mwanza, RC mbeya, RC Iringa, RC Geita, RC morogoro, madc wa kung'olewa Dc nyangwale,dc Kahama,dc chunya,dc ikungi, dc simanjiro,dc Tarime, dc nzega, dc igunga,dc same,dc siha, dc arusha mjini, dc bukombe, dc chato, dc kilosa, dc handeni, dc Rombo, dc kiteto, dc meru, dc Hai, dc Geita mjini,Das Geita mjini, das moshi ,
 
Wengine wa kung'olewa, RC Njombe,RC Mwanza, RC mbeya, RC Iringa, RC Geita, RC morogoro, madc wa kung'olewa Dc nyangwale,dc Kahama,dc chunya,dc ikungi, dc simanjiro,dc Tarime, dc nzega, dc igunga,dc same,dc siha, dc arusha mjini, dc bukombe, dc chato, dc kilosa, dc handeni, dc Rombo, dc kiteto, dc meru, dc Hai, dc Geita mjini,Das Geita mjini, das moshi ,
Mmhhh!!!!,Wewe jamaa hao wote umewafuatilia utendaji kazi wao??.
 
Wengine wa kung'olewa, RC Njombe,RC Mwanza, RC mbeya, RC Iringa, RC Geita, RC morogoro, madc wa kung'olewa Dc nyangwale,dc Kahama,dc chunya,dc ikungi, dc simanjiro,dc Tarime, dc nzega, dc igunga,dc same,dc siha, dc arusha mjini, dc bukombe, dc chato, dc kilosa, dc handeni, dc Rombo, dc kiteto, dc meru, dc Hai, dc Geita mjini,Das Geita mjini, das moshi ,
Mkurugenzi jiji Mwanza nijeuri sana, tunaomba Mama pitisha jicho lako bila kusahau Dc Ukerewe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom