iringaHivi CHARAMILA ni mwenyeji wa wapi
Asante mkuui
iringa
Rafiki unasumbua kisa umemaliza mitihani!😄😄😄Wafagie wote hao mama.
Mnyalukolo huyo.Hivi CHARAMILA ni mwenyeji wa wapi
Lazima wang'okeSabaya, Chalamila, Ally Hapi mmezidisha mabega tumewaweka kwenye maombi macho malegevu yasiwaoneee
Wengine wa kung'olewa, RC Njombe,RC Mwanza, RC mbeya, RC Iringa, RC Geita, RC morogoro, madc wa kung'olewa Dc nyangwale,dc Kahama,dc chunya,dc ikungi, dc simanjiro,dc Tarime, dc nzega, dc igunga,dc same,dc siha, dc arusha mjini, dc bukombe, dc chato, dc kilosa, dc handeni, dc Rombo, dc kiteto, dc meru, dc Hai, dc Geita mjini,Das Geita mjini, das moshi ,Lazima wang'oke
🤝Nimewasikia maombi yenu nitamwambia mama Samia
Mmhhh!!!!,Wewe jamaa hao wote umewafuatilia utendaji kazi wao??.Wengine wa kung'olewa, RC Njombe,RC Mwanza, RC mbeya, RC Iringa, RC Geita, RC morogoro, madc wa kung'olewa Dc nyangwale,dc Kahama,dc chunya,dc ikungi, dc simanjiro,dc Tarime, dc nzega, dc igunga,dc same,dc siha, dc arusha mjini, dc bukombe, dc chato, dc kilosa, dc handeni, dc Rombo, dc kiteto, dc meru, dc Hai, dc Geita mjini,Das Geita mjini, das moshi ,
Rafiki bhanaah acha nisumbue tyuuh, zimamoto kazi yetu imeisha.Rafiki unasumbua kisa umemaliza mitihani!
Mla mbwa huyoHivi CHARAMILA ni mwenyeji wa wapi
🤣🤣🤣Eti zima moto,vijana mna mambo!😄Rafiki bhanaah acha nisumbue tyuuh, zimamoto kazi yetu imeisha.
Mkurugenzi jiji Mwanza nijeuri sana, tunaomba Mama pitisha jicho lako bila kusahau Dc Ukerewe.Wengine wa kung'olewa, RC Njombe,RC Mwanza, RC mbeya, RC Iringa, RC Geita, RC morogoro, madc wa kung'olewa Dc nyangwale,dc Kahama,dc chunya,dc ikungi, dc simanjiro,dc Tarime, dc nzega, dc igunga,dc same,dc siha, dc arusha mjini, dc bukombe, dc chato, dc kilosa, dc handeni, dc Rombo, dc kiteto, dc meru, dc Hai, dc Geita mjini,Das Geita mjini, das moshi ,