Kuna ukweli, sometimes lugha na hata matendo yaliyokuwa yakifanywa na mheshimiwa yule yalikuwa yana tia hofu na hata kuwa kero kubwa kwa jamii.
Wasiojulikana
Kodi hewa
Kughushiwa mashtaka kubambikwa
Kunyang'anywa mali kwa nguvu
Kuna "waliopotea"
Ukabila(Sukuma Gang)-watu tunaanza kusahau
Lakini vile vile kuna aliyofanya vema
Vituo vya afya
Barabara
Ndege(ingawaje zipo mbovu)
SGR-hata kama haijakamilika
Bwawa la umeme JNHEPP-Stiglaz
Jukumu letu ni kupembua jema na baya lake.
Lakini kula na kunywa(ufisadi) na kutupia takataka kaburini?