Kibonzo: Kenya vs Tanzania

Kibonzo: Kenya vs Tanzania

Idugunde

JF-Expert Member
Joined
May 21, 2020
Posts
7,174
Reaction score
8,636
Kuna tofauti kubwa sana
FB_IMG_1750240040035.jpg
 
Kuna tofauti kubwa sana
ni kweli kabisaa tofauti ni kubwa mno, wajamaa wanaandamana na masufuria kichwani kuomba unga ikulu, badala wakalime? huu si ulofa wa kiwango cha juu sana gentleman?

we cheki kama jana,
waandamanaji nonsense gen z wapiga kelele na kuharibu vitu mbalimbali, si wakakutana na waandamanaji waporaji town, na wote wana haki na uhuru wa kuandamana kwa mujibu wa katiba yao.
Aise walifurahishana balaa. na moja wako aka r.i.p kabisa kama sehemu ya athari au matokeo ya maandamano yale ya kishamba.

Kenya na Tz ni tofauti sana gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom