Kibonde sio lazima ueleze kila kitu wewe

Kibonde sio lazima ueleze kila kitu wewe

Au ndo yule aliemuimba mr ebo? " kamongo umemfanya nini perege ana.........."
 
Yan kibonde n bwege kama sio boga,kuwa mtangazaji sio unajua kilakitu.jamaa kila kitu ajifanya unajua na vingi huwa anapotosha watu.
 
Ukweli.mtupu, huyu jamaa kila kitu anajua...anapenda payu payu sana..anapayuuuuka
 
Tuelezee wewe basi perege ni samaki wa aina gani
Asante kwa kutaka kujua Perege ni samaki wa aina gani, Perege ni Samaki ambaye yuko kwenye kundi la samaki aina ya Sato, (Tilapia) wao wana ukubwa wa kati na wanaweza kukua hadi kufikia kilo moja na nusu ukilinganisha na Sato wekundu, Sio rahisi akuwe kuvuka kiwango hicho.

Hawezi hata kidogo kuishi kwenye matope kwani hutegemea zaidi hewa ya oksijen.Utafiti umefanyika katika nchi nyingi na kuonelea kuwa samaki aina ya perege/ngege/sato [tilapia] anafaa kufugwa katika mabwawakulinganisha na aina nyingine. Samaki wa aina hii wana sifa nzuri sana kwani; huishi kwenye maji yenye joto la kadri katika nchi nyingi, wanaweza kuzaana kwa wingi katika mabwawa, hula majani na chakula kingine chochote kinachopatikana kwa urahisi shambani au nyumbani, hukua kwa haraka, uvumilia sana changamoto za bwawa hii ikiwa ni mabadiliko ya joto, hewa ya oksijeni, na pH, pia nyama ya samaki hawa ni tamu na yenye ladha nzuri.
Kuna aina nyingi za sato(tilapia) kama vile Sato mwekundu, Sato wa Msumbiji, Sato mweupe na Sato wa Mwanza.
Sato hawa hula mimea na majani, huhitaji chakula kingi na huzaana sana, wana doa moja kubwa kwenye pezi la mgongoni. Sato hawa hula vijimea vya plankiton, hukua kwa haraka na wana mistari kwenye mikia. Aina nyingine za samaki zimechanganyikana na kuwa machotara hivyo siyo rahisi kuwatambua.

Nadhani utakuwa umelewa kidogo kuhusu Perege, kwa wale wanaotoka Musoma Vijijini, Ukerewe, Mwanza na Bunda kwao sio Tatizo kumfaham Perege, lakini pia wale wanao toka maeneo ya Bwawa la nyumba ya Mungu, ziwa Mdoli nk.
Asante.
 
Asante kwa kutaka kujua Perege ni samaki wa aina gani, Perege ni Samaki ambaye yuko kwenye kundi la samaki aina ya Sato, (Tilapia) wao wana ukubwa wa kati na wanaweza kukua hadi kufikia kilo moja na nusu ukilinganisha na Sato wekundu, Sio rahisi akuwe kuvuka kiwango hicho.

Hawezi hata kidogo kuishi kwenye matope kwani hutegemea zaidi hewa ya oksijen.Utafiti umefanyika katika nchi nyingi na kuonelea kuwa samaki aina ya perege/ngege/sato [tilapia] anafaa kufugwa katika mabwawakulinganisha na aina nyingine. Samaki wa aina hii wana sifa nzuri sana kwani; huishi kwenye maji yenye joto la kadri katika nchi nyingi, wanaweza kuzaana kwa wingi katika mabwawa, hula majani na chakula kingine chochote kinachopatikana kwa urahisi shambani au nyumbani, hukua kwa haraka, uvumilia sana changamoto za bwawa hii ikiwa ni mabadiliko ya joto, hewa ya oksijeni, na pH, pia nyama ya samaki hawa ni tamu na yenye ladha nzuri.
Kuna aina nyingi za sato(tilapia) kama vile Sato mwekundu, Sato wa Msumbiji, Sato mweupe na Sato wa Mwanza.
Sato hawa hula mimea na majani, huhitaji chakula kingi na huzaana sana, wana doa moja kubwa kwenye pezi la mgongoni. Sato hawa hula vijimea vya plankiton, hukua kwa haraka na wana mistari kwenye mikia. Aina nyingine za samaki zimechanganyikana na kuwa machotara hivyo siyo rahisi kuwatambua.

Nadhani utakuwa umelewa kidogo kuhusu Perege, kwa wale wanaotoka Musoma Vijijini, Ukerewe, Mwanza na Bunda kwao sio Tatizo kumfaham Perege, lakini pia wale wanao toka maeneo ya Bwawa la nyumba ya Mungu, ziwa Mdoli nk.
Asante.
Asante kwa shule
 
Ephrahim Kibonde wa cloud sio lazima uelezee kila kitu wewe, mnakuwa watatu kwenye kipindi acha wanzako au mwenzako anayekuwa na uelewa fulani muwapo studio aelezee, na rudia tena siyo lazima wewe. Mara nyingi nimekuwa nikiona comment humu ndani watu wakikuelezea ktk mtazamo hasi. Lakini wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa upuuzwe, binafsi nimeona siwezi kukupuuza kwani umeendelea kupotosha katka mambo mengi sana uwapo studio na mengi ni mambo madogo lakini yenye madhara makubwa kwa kizazi kijacho.

Mfano jana wakati unaongelea tukio la yule jamaa wa Mbeya ambaye alifariki kutokana na kumeza samaki aina perege. Tukio lilikuwa sahihi make lilithibitishwa na RPC wa mkoa husika.

Hoja yangu ni pale ulipokuwa unajaribu kuongelea ama kumwelezea perege na ukadai unamfaham vizuri perege ni Samaki ambaye anweza ishi hata kwenye tope, ama anafuata Tope pindi maji yakikauka. Kibonde sio kweli watafute watalaam wa mammbo ya viumbe wa majini, kwa maana ya ziwani na bahari watakusaidia kufahamu vizuri zaidi. Pia jenga utamaduni wa kusoma ili uwe na uelewa ma mambo zaidi.

Ni kweli jamaa kila kitu anajua yeye. Pia mpayukaji kama kasuku.
 
Ephrahim Kibonde wa cloud sio lazima uelezee kila kitu wewe, mnakuwa watatu kwenye kipindi acha wanzako au mwenzako anayekuwa na uelewa fulani muwapo studio aelezee, na rudia tena siyo lazima wewe. Mara nyingi nimekuwa nikiona comment humu ndani watu wakikuelezea ktk mtazamo hasi. Lakini wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa upuuzwe, binafsi nimeona siwezi kukupuuza kwani umeendelea kupotosha katka mambo mengi sana uwapo studio na mengi ni mambo madogo lakini yenye madhara makubwa kwa kizazi kijacho.

Mfano jana wakati unaongelea tukio la yule jamaa wa Mbeya ambaye alifariki kutokana na kumeza samaki aina perege. Tukio lilikuwa sahihi make lilithibitishwa na RPC wa mkoa husika.

Hoja yangu ni pale ulipokuwa unajaribu kuongelea ama kumwelezea perege na ukadai unamfaham vizuri perege ni Samaki ambaye anweza ishi hata kwenye tope, ama anafuata Tope pindi maji yakikauka. Kibonde sio kweli watafute watalaam wa mammbo ya viumbe wa majini, kwa maana ya ziwani na bahari watakusaidia kufahamu vizuri zaidi. Pia jenga utamaduni wa kusoma ili uwe na uelewa ma mambo zaidi.

Kwa kweli kibonde yupo talented wengine kama mazuzu bora wakae kimya tuuu
 
Kuzimu hakuna Bia ndo maana tuna kunywa zetu biaaaa,ukifa tutakunywa zako biaaaaaaa.1,2,3 twendeeeeee.
 
Kwakweli kazi ya uandishi na utangazaji inahitaji ufahamu mpana lzm mtu awe na general knowledge ya kutosha sasa hapa kwetu TZ mtu akiwa DJ au MC tayari anaqualify kuwa mtangazaji,nilikuwa nasikiliza redio fulani watangazaji wawili wanadanganyana na kuupotosha uma kwa kusema Sahara Magharibi ni nchi iliyo Afrika kusini nikachoka !walikuwa wanajadili kifo cha mwanaharakati wa ukombozi wa muda mrefu wa West Saharawi!!
 
Tatizo ujuaji mwingi sana. Hakuna asichojua. Vitu vingi tu howa anapiga uongo tu. Kwenye kipindi kama vile wenzie wanamgwaya
 
Hoja yangu ni pale ulipokuwa unajaribu kuongelea ama kumwelezea perege na ukadai unamfaham vizuri perege ni Samaki ambaye anweza ishi hata kwenye tope, ama anafuata Tope pindi maji yakikauka.
..
hapa ipo shida...
 
Back
Top Bottom