Ephrahim Kibonde wa cloud sio lazima uelezee kila kitu wewe, mnakuwa watatu kwenye kipindi acha wanzako au mwenzako anayekuwa na uelewa fulani muwapo studio aelezee, na rudia tena siyo lazima wewe. Mara nyingi nimekuwa nikiona comment humu ndani watu wakikuelezea ktk mtazamo hasi. Lakini wengi wamekuwa wakisisitiza kuwa upuuzwe, binafsi nimeona siwezi kukupuuza kwani umeendelea kupotosha katka mambo mengi sana uwapo studio na mengi ni mambo madogo lakini yenye madhara makubwa kwa kizazi kijacho.
Mfano jana wakati unaongelea tukio la yule jamaa wa Mbeya ambaye alifariki kutokana na kumeza samaki aina perege. Tukio lilikuwa sahihi make lilithibitishwa na RPC wa mkoa husika.
Hoja yangu ni pale ulipokuwa unajaribu kuongelea ama kumwelezea perege na ukadai unamfaham vizuri perege ni Samaki ambaye anweza ishi hata kwenye tope, ama anafuata Tope pindi maji yakikauka. Kibonde sio kweli watafute watalaam wa mammbo ya viumbe wa majini, kwa maana ya ziwani na bahari watakusaidia kufahamu vizuri zaidi. Pia jenga utamaduni wa kusoma ili uwe na uelewa ma mambo zaidi.
Mfano jana wakati unaongelea tukio la yule jamaa wa Mbeya ambaye alifariki kutokana na kumeza samaki aina perege. Tukio lilikuwa sahihi make lilithibitishwa na RPC wa mkoa husika.
Hoja yangu ni pale ulipokuwa unajaribu kuongelea ama kumwelezea perege na ukadai unamfaham vizuri perege ni Samaki ambaye anweza ishi hata kwenye tope, ama anafuata Tope pindi maji yakikauka. Kibonde sio kweli watafute watalaam wa mammbo ya viumbe wa majini, kwa maana ya ziwani na bahari watakusaidia kufahamu vizuri zaidi. Pia jenga utamaduni wa kusoma ili uwe na uelewa ma mambo zaidi.