GE2025 Kibonde: Polepole ni mmoja wa wanamtandao ambao walikuwa wanataka kumwondoa Rais Samia asigombee urais

GE2025 Kibonde: Polepole ni mmoja wa wanamtandao ambao walikuwa wanataka kumwondoa Rais Samia asigombee urais

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
Mgombea wa Urais wa Chama Makini Amshukia Polepole. Aendelea kumnadi Samia.

Katika hali ya kipekee katika siku ya kwanza ya uzinduzi wa kampeni za Chama Makini, mgombea wa Urais wa chama hicho Coaster Kibonde amemshukia vikali Humphrey Polepole.

"Naomba Watanzania wenzangu popote unaponisikiliza waweze kumpuuza huyu Humphrey Polepole. Kwa sababu tumebaini, tumegundua ya kwamba Humphrey Polepole alikuwa ni mmoja wa wanamtandao ambao walikuwa wanataka kumwondoa DK. Samia Suluhu Hassan ili asiwe mgombea wa Chama cha Mapinduzi," alieleza Kibonde mbele ya wafuasi wa chama hicho katika uzinduzi wa kampeni za chama hicho Mazese, Dar es Salaam.

 
Duuuuh!! Kutimiza takwa la kikatiba mwaka huu tutasikia mengi, mpaka Samia anaapishwa kisheria tutakua hoi bin taabani.
 
Mgombea wa Urais wa Chama Makini Amshukia Polepole. Aendelea kumnadi Samia.

Katika hali ya kipekee katika siku ya kwanza ya uzinduzi wa kampeni za Chama Makini, mgombea wa Urais wa chama hicho Coaster Kibonde amemshukia vikali Humphrey Polepole.

"Naomba Watanzania wenzangu popote unaponisikiliza waweze kumpuuza huyu Humphrey Polepole. Kwa sababu tumebaini, tumegundua ya kwamba Humphrey Polepole alikuwa ni mmoja wa wanamtandao ambao walikuwa wanataka kumwondoa DK. Samia Suluhu Hassan ili asiwe mgombea wa Chama cha Mapinduzi," alieleza Kibonde mbele ya wafuasi wa chama hicho katika uzinduzi wa kampeni za chama hicho Mazese, Dar es Salaam.

View attachment 3463030
Kataja mambo ya Msingi sana Amani yetu nimemuelewa kwanza Amani mengine baadae.
 
Mgombea wa Urais wa Chama Makini Amshukia Polepole. Aendelea kumnadi Samia.

Katika hali ya kipekee katika siku ya kwanza ya uzinduzi wa kampeni za Chama Makini, mgombea wa Urais wa chama hicho Coaster Kibonde amemshukia vikali Humphrey Polepole.

"Naomba Watanzania wenzangu popote unaponisikiliza waweze kumpuuza huyu Humphrey Polepole. Kwa sababu tumebaini, tumegundua ya kwamba Humphrey Polepole alikuwa ni mmoja wa wanamtandao ambao walikuwa wanataka kumwondoa DK. Samia Suluhu Hassan ili asiwe mgombea wa Chama cha Mapinduzi," alieleza Kibonde mbele ya wafuasi wa chama hicho katika uzinduzi wa kampeni za chama hicho Mazese, Dar es Salaam.

View attachment 3463030
Sema mnavyojuana chaawa kiboooonde kibooondoo kipoondooo
 
Mwingine huyu hapa

Screenshot_20250902_164659_Facebook.jpg
 
Polepole kutoka kuwa mtu wa kueneza propaganda za wababe, mpaka kufikia kueneza propaganda za upande dhaifu, downfall

Kweli mtu anaumwa,
Na sasa anasumbuliwa na utumwa,
 
Back
Top Bottom